Hii ndiyo Dubai bwana

Hii ndiyo Dubai bwana

Wapi nimesema au kuashiria kuwa nategemea kujua maovu ya Nyerere kupitia Tundu Lisu au nasapoti kauli ya Lisu ?

Hivi umeshindwa kuchambua comment yangu fupi na kujua maudhui yake kiasi ambacho umejibu OP kabisa ?

Malengo yangu yalikuwa ni kuonyesha kuwa sio kila wanaomkosoa N Nyerere ni waislamu nashangaa wewe kuandika hivyo na kudhihirisha jinsi gani kiwango cha kuchambua na kuelewa mazungumzo ni duni sana..
Tundu atakupoteza achana nae!!!Yupo timu B!!!!Na wale wazee wa kariakoo achana nao watakupoteza pia!!!Wao wanamchukia nyerere kwa sababu kuu mbili nazo ni udini na aliwanyima wazazi wao vyeo!!!!!Nikutakie siku njema kaka
 
Jamani eh tukubali tukatae watu waupe wametupiga gepu kubwa sana na tuna tuna safari ndefu kuwapata.
Ebu angalia Dubai alafu ujiulize Dar au Kampala zikija kufikia hatua hii itakuwa ni mwaka gani.
Hata Dar ingeweza kuwa hivi endapo Watanzania wangeamua kuwajaribisha wengine zaidi ya wale wale wa kila siku!.
P
 
Mungu alimpunja akili mtu mweusi.
Anayebisha aje tubishane kwa hoja
Nakubaliana na wewe mkuu,mfano mimi huwa kuna kitu huwa nakitafakari na mwisho najipa majibu kuwa sisi weusi hatuna tofauti na wanyama

Mfano unakuta mtaani kwenye barabara ya mtaani kwetu kinatokea kikorongo kidogo sana kinaanza kutuamisha maji lakin hutaona hata mtu mmoja anajitolea kukifukia mwisho wa siku linakuwa shimo kubwa mpaka barabara inashindikana kupitika na wakati huo,hapo hapo mtaani kuna watu wana magari
 
Hata Dar ingeweza kuwa hivi endapo Watanzania wangeamua kuwajaribisha wengine zaidi ya wale wale wa kila siku!.
P
Kaka mayala nikusahiishe kidogo kwa manufaa yenu nyote wantanzania wenzangu bara na visiwani!!!Watanzania wajaribishe wengine ila ndani ya chama cha mapinduzi sio nje ya hapo sababu ilani yake ndio ilani bora ya chama cha siasa afrika nzima!!!!!Ni watu ty waliopewa dhamana kuitekeleza!!!
 
Los angeles na new york hazipo kwa the most modern cities in the world kwenye top 10. Jiji lililopo ni san francisco na ndilo linaongoza kwa marekani kwa kuwa modern. Majiji mengi yaliyomo ni nchi za Asia maana yamejengwa miaka ya hivi karibuni hivyo yana ylubunifu wa kisasa na technology za kisasa zaidi
Los Angeles ni mji wa kibiashara kijana [emoji3][emoji3] GDP ya Los Angeles inajenga hizo artificial Dubai zako kama 2 hivi
 
Los Angeles ni mji wa kibiashara kijana [emoji3][emoji3] GDP ya Los Angeles anajenga inajenga hizo artificial Dubai zako kama 2 hivi
Tunaongelea modern cities zilivyojengwa. Sasa wabishana na mimi au wabishana na mashirika yanayi rate miji. Hatuzungumzii GDP hapa, hata gdp ya India inaizidi France lakini hakuifanyi India kuwa na miundombinu bora kuliko France.
 
Los Angeles ni mji wa kibiashara kijana [emoji3][emoji3] GDP ya Los Angeles inajenga hizo artificial Dubai zako kama 2 hivi
Madogo hawajui ndio maana nawaambia wasafiri waone!!!LA ni level nyingine kabisa up there!!!Kwa sababu umordern wa mji ni zaidi ya majengo mazuri na miundombinu
 
Nakubaliana na wewe mkuu,mfano mimi huwa kuna kitu huwa nakitafakari na mwisho najipa majibu kuwa sisi weusi hatuna tofauti na wanyama

Mfano unakuta mtaani kwenye barabara ya mtaani kwetu kinatokea kikorongo kidogo sana kinaanza kutuamisha maji lakin hutaona hata mtu mmoja anajitolea kukifukia mwisho wa siku linakuwa shimo kubwa mpaka barabara inashindikana kupitika na wakati huo,hapo hapo mtaani kuna watu wana magari

Sasa mkuu si ungefukia tu ata wewe hicho kikorongo na udongo ili wewe ujitofautishe na watu weusi wenye Akili kama wanyama....!

Nawewe kukiacha hadi kinakuwa shimo kubwa maana yake unaingia kwenye hilo hilo kundi watu weusi ambao hawana tofauti na wanyama
 
Kaka upo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asalaam aleykuum!!!!Nimekusalimia kiarabu kaka!!!!!Au nikusalimie kibantu🤣🤣🤣🤣
Ukiona thd imetaja Mwarabu na kumsifia kwa jambo lolote lile hua unaumia sana,lazima ujipitishe huku ukitingisha Ka...**o

Ubaguzi wako na chuki zako unasababishwa na umasikini wako na kukata tamaa ya maisha,

Nimesha kusoma sana na chuki zako kwa imani ile,endelea tu kuteseka na kufuga ujinga,fainali uzeeni,angalia tu usije ukawapa watu wengine kazi ya kuja kukulea uzeeni.
 
Back
Top Bottom