Hii ndiyo gari la mtoto mdogo Diamond Platnumz.. Rolly Royce

Kwa hiyo wewe roho inakuuma?
🤣🤣🤣

Kutoa jasho ndio sifa ya mwanaume.

Mimi hainiumi bali ana ni inspire na kuni motivate ktk kutafuta kwangu.
 
Reactions: Qwy
Rolls Royce , the epitome of automotive luxury .

Phantom litamfaa sana kama anataka ile 'boss feeling' anakaa nyuma anaendeshwa
 
Kwa hiyo wewe roho inakuuma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kutoa jasho ndio sifa ya mwanaume.

Mimi hainiumi bali ana ni inspire na kuni motivate ktk kutafuta kwangu.
mhhh haaya.nadhani hujanielewa.

hivi kati ya mond na tecno nani mwanaume katika vigezo vya kuhaso???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DIAMOND HAMILIKI ILE GARI. NASISITIZA HAMILIKI ILE GARI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa system hao,kijana sasa amefikia juu. Haya mambo kuyapata si wote bali ni kwa wenye nyota maalumu.
Katika system hii hakunaga kufilisika bali ni kifo tuu ndio kitakutenganisha na mali zako.
Haya makitu wengi hawayajui,wana chekelea chekelea tuu.
The world was dedicated to two kind of people, ''Smart and Poor">(kama nimekosea wakuu wa kuedit kanyaga twende)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…