Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Siyo mimi nilietumia mzee na mquote mtoa madaIyo bei walikupiga sana kwa kifupi siyo nzuri mana kma haukuwa makini kwenye kulipaka ata show yenyeweee unaweza usipige ukawa kma msenge mbele ya manzi mana mashine
Mkuu kosa lako ulofanya ni kutumia muda mrefu bila ya kuosha dawa. Inatakiwa isizidi lisaa limoja.
Na haitakiwi upake mpaka nyinginyi igandane. Unapaka kistaa tu kazi ataiona na wazungubwatakuja tu.
Kwann mkuu. Nielekeze namna ya kupaka aiseeIyo bei walikupiga sana kwa kifupi siyo nzuri mana kma haukuwa makini kwenye kulipaka ata show yenyeweee unaweza usipige ukawa kma msenge mbele ya manzi mana mashine
PoaSiyo mimi nilietumia mzee na mquote mtoa mada
😀😀😀 pole mkuu siyo zuri,imalisha mwili kula vzr matunda mambo yataka sawaUzi ungenoga kama mliotumia mngesema tutalipata wapi wengine ili tulinde heshima za ndoa
Kindly help
Sawa...go ahead boss
Ulimsaliti mshkaji wako manKweli mkuu na hili wanawake wengi hawajalitambua hili, wakikutana na mwanaume anaunga 3 bila kupumzika wanaona anazo nguvu bila kujua wenyewe wametumia madawa, siku tukienda nao mwendo wa dk 30 hadi 45 wanaona huwezi.
Kuna demu mmoja alikua akimsifia sana mshikaji wangu aliekua akimtesa kua anayaweza sana, nikamtonya mvizie kwa mda wako akafanya hivyo jamaa akagoma kabisa kupiga show,
Siku mshikaji kapanga yeye nkampa demu mbinu ukifika pale goma utoe sababu za msiba, kakaa pale saa nzima hadi anaondoka mashine bado imeumuka ndio akaniamin.
Ila kiukweli mazoezi yana saidia mno halafu na kula balance diet na hata ukila tu punje za garlic mbili kila siku utaona mabadiliko makubwa sana kwenye sex driveNawashangaa sana badala ya kufanya mazoezi et yanajiuwa kwa puturu...mimi hiyo kitu naisikia tu na wala sitataka kuijaribu maana kama nikumfikisha mtu kileleni namfikisha vizuri tu na vilio juu kwa utamu anaoupata. Nimegundua mazoezi na kuacha kujichua ndo suluhisho pekee la heshima ya ndoa.
Punje kumi mkuu nyingi sana unaweza ukashusha sana pressure ya damu halafu ikawa tatizo tenaMkuu vumbi la Kongo au madawa ya nayo fanana na hayo ninkujiharibu tuu..
Kwanza Njia rahisi piga Kila siku at least maji 5lt + punje 10 za kitunguu swaumu, pili mazoezi ya kutosha asubuhi na jioni, hapa chuma haihusiki , tatu Kila unapoenda chooni kukojoa bhana mkojo huku unaachia pumzi iendelee Kama kawaida fanya hivyo siku zote ..
Ukizingatia Hilo Hapo ukija mkamata demu hata awe wa namna gani lazima akili zake ziruke ruke Kama amechanganyikiwa na Kama una roho ndogo unaweza kimbia cz show itakua Kali sana( hi na experience nayo so naijua vilivyo)
Sent using Jamii Forums mobile app