Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hinge kwa kua mtumiaji wa western union
 
Iyo bei walikupiga sana kwa kifupi siyo nzuri mana kma haukuwa makini kwenye kulipaka ata show yenyeweee unaweza usipige ukawa kma msenge mbele ya manzi mana mashine
Kwann mkuu. Nielekeze namna ya kupaka aisee
 
Mkuuu kama una bidhaa zako we uza kiistarab tu kwenye forum husika sio hizi stori za abunuasi....hamna mwanamke anaefurahia tendo zaidi ya lisaa limoja hehehhe huyo sio mwanamke labda changudoa mkuu tena masaa mawili utaongezewa bei. Ikifika nusu saa ni lazima akauke labda kama mlikuwa mnapumzika ila kwa hii stori kwa kweli walishe vijana wenzako
 
Kweli mkuu na hili wanawake wengi hawajalitambua hili, wakikutana na mwanaume anaunga 3 bila kupumzika wanaona anazo nguvu bila kujua wenyewe wametumia madawa, siku tukienda nao mwendo wa dk 30 hadi 45 wanaona huwezi.
Kuna demu mmoja alikua akimsifia sana mshikaji wangu aliekua akimtesa kua anayaweza sana, nikamtonya mvizie kwa mda wako akafanya hivyo jamaa akagoma kabisa kupiga show,
Siku mshikaji kapanga yeye nkampa demu mbinu ukifika pale goma utoe sababu za msiba, kakaa pale saa nzima hadi anaondoka mashine bado imeumuka ndio akaniamin.
Ulimsaliti mshkaji wako man
 
Nawashangaa sana badala ya kufanya mazoezi et yanajiuwa kwa puturu...mimi hiyo kitu naisikia tu na wala sitataka kuijaribu maana kama nikumfikisha mtu kileleni namfikisha vizuri tu na vilio juu kwa utamu anaoupata. Nimegundua mazoezi na kuacha kujichua ndo suluhisho pekee la heshima ya ndoa.
Ila kiukweli mazoezi yana saidia mno halafu na kula balance diet na hata ukila tu punje za garlic mbili kila siku utaona mabadiliko makubwa sana kwenye sex drive

Na mazoezi nayo yaambatane na kupungua kwa uzito kwa una uzito usiolingana na urefu wako yani una BMI yako iwe normal

Mazoezi at least one hour siku tano kwa week.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wa Mwakaleli huku hatujisumbui na hayo madawa yenu lakini wanaelewaga show! Kwa hiyo uka ahirisha hata safari ya kwenda China?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vumbi la Kongo au madawa ya nayo fanana na hayo ninkujiharibu tuu..

Kwanza Njia rahisi piga Kila siku at least maji 5lt + punje 10 za kitunguu swaumu, pili mazoezi ya kutosha asubuhi na jioni, hapa chuma haihusiki , tatu Kila unapoenda chooni kukojoa bhana mkojo huku unaachia pumzi iendelee Kama kawaida fanya hivyo siku zote ..

Ukizingatia Hilo Hapo ukija mkamata demu hata awe wa namna gani lazima akili zake ziruke ruke Kama amechanganyikiwa na Kama una roho ndogo unaweza kimbia cz show itakua Kali sana( hi na experience nayo so naijua vilivyo)

Sent using Jamii Forums mobile app
Punje kumi mkuu nyingi sana unaweza ukashusha sana pressure ya damu halafu ikawa tatizo tena

Recommendation kutoka kwa wataalamu wa afya ni punje 2 mpaka 3 za kitunguu swaumu kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumeibuka na hi kitu maarufu Kama VUMBI LA Kongo miongoni mwa wangonokaji nchini petu...Natamani kujua faida na hasara ya dawa hizi....maana wengi husema hazina madhara....Niliwahi kukutana na Dereva mmoja akanambia ukikamatwa na dawa hizi ukipita nazo Zambia ni kosa kubwa Sana kisheria (wenzetu Hawa wamegundua nn mpaka kuikataza?) Lakin nilikutana na mdau mwingine akanambia Mara nyingi huko Congo hutumika na watu wenye kisukari (Diabetes) ...ijulikane kwamba dawa hizi hazijasajiliwa na TFDA...Naomba tujadiliane kwa wale wenye uelewa....Nini faida na madhara ya hi kitu....Naomba kuwakilisha na kuwatakia uchangiaji mwema...tupate elimu
 
Mzee hakuna madhara yeyote ila kuna mwanangu halishatumia kama mwezi hivi hadi leo Neno kudinda analisikia kwenye redio ha ha noma


"Haters watasema sana"
 
Back
Top Bottom