Hii ndiyo sababu iliyonifanya hata nikienda kumtembelea ndugu yangu sibebi zawadi

Hii ndiyo sababu iliyonifanya hata nikienda kumtembelea ndugu yangu sibebi zawadi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Za usiku siku imeendaje?

Ilikuwa hivi nilikuwaga nakaa mkoani basi nikaenda kumtembelea binamu yangu nilikuwa natokea Mtwara nikanunua korosho nimpeleke zawadi nikampa nilipo fika sasa nikiwa najianda kwenda kuoga nikasia wanaongea itakuwa kanunua buku buku wana lahisisha mamb basi nikapotezea

Wanaoishi Mtwara nadhani wanajua bei za korosho zilivyo juu

Sasa siku nyingine binamu yangu alikuwa kapata mtoto sasa ilipita miaka 2 sijaenda kumuona siku naenda nilibeba kitenge na khanga nikampa siku nyingne kwakuwa yule mtoto alikuwa ananipenda sana nikapita karume nikaona nguo za watoto mzuri nikanunua nimpeleke mtoto zawadi zilikuwa za mtumba nilipo mpelekea wakapokea wakasema mzuri asante wakaenda chumban mh nikawasikia wanasema kwani huyu ameambiwa huyu mtoto anavaa nguo za mtumba embu ziweke pembeni uko niliumia san mpaka nikasema siludi tena

Siku nyingine nilikuwa natokea moshi naenda dar nikafikia kwa aunt yangu nikawabebea samaki pamoja na kambale samaki wengine niliwa tuma kwa mama sasa zile mboga hawakupika mpaka wakaoza niliumia

Sasa juzi nikawa napita maeneo nikapitia kwa binamu yangu nilienda mikono mitupu sasa nikafika nikawasalimia nikaaga wakasema uncle wako anataka zawadi anasema leo ujambebea nikazuga nikatoa 5000

Watu wengi tunao hish dar tabia hii mnayo sana
 
Za usiku siku imeendaje?

Ilikuwa hivi nilikuwaga nakaa mkoani basi nikaenda kumtembelea binamu yangu nilikuwa natokea mtwara nikanunua korosho nimpeleke zawadi nikampa nilipo fika sasa nikiwa najianda kwenda kuoga nikasia wanaongea itakuwa kanunua buku buku wana lahisisha mamb basi nikapotezea

Wanao hish mtwara nazani wanajua bei za korosho zilivyo juu

Sasa siku nyingine binamu yangu alikuwa kapata mtoto sasa ilipita miaka 2 sijaenda kumuona siku naenda nilibeba kitenge na khanga nikampa siku nyingne kwakuwa yule mtoto alikuwa ananipenda sana nikapita karume nikaona nguo za watoto mzuri nikanunua nimpeleke mtoto zawadi zilikuwa za mtumba nilipo mpelekea wakapokea wakasema mzuri asante wakaenda chumban mh nikawasikia wanasema kwani huyu ameambiwa huyu mtoto anavaa nguo za mtumba embu ziweke pembeni uko niliumia san mpaka nikasema siludi tena

Siku nyingine nilikuwa natokea moshi naenda dar nikafikia kwa aunt yangu nikawabebea samaki pamoja na kambale samaki wengine niliwa tuma kwa mama sasa zile mboga hawakupika mpaka wakaoza niliumia

Sasa juzi nikawa napita maeneo nikapitia kwa binamu yangu nilienda mikono mitupu sasa nikafika nikawasalimia nikaaga wakasema uncle wako anataka zawadi anasema leo ujambebea nikazuga nikatoa 5000

Watu wengi tunao hish dar tabia hii mnayo sana
Profile picture (PP) yako ni changamoto sana kwa MBUMBUMBU wa MAKOLOKOLO FC kuchangia huu uzi wako, ikikupendeza weka PP nyingine, ni ushauri tu [emoji2960]
 
Za usiku siku imeendaje?

Ilikuwa hivi nilikuwaga nakaa mkoani basi nikaenda kumtembelea binamu yangu nilikuwa natokea mtwara nikanunua korosho nimpeleke zawadi nikampa nilipo fika sasa nikiwa najianda kwenda kuoga nikasia wanaongea itakuwa kanunua buku buku wana lahisisha mamb basi nikapotezea

Wanao hish mtwara nazani wanajua bei za korosho zilivyo juu

Sasa siku nyingine binamu yangu alikuwa kapata mtoto sasa ilipita miaka 2 sijaenda kumuona siku naenda nilibeba kitenge na khanga nikampa siku nyingne kwakuwa yule mtoto alikuwa ananipenda sana nikapita karume nikaona nguo za watoto mzuri nikanunua nimpeleke mtoto zawadi zilikuwa za mtumba nilipo mpelekea wakapokea wakasema mzuri asante wakaenda chumban mh nikawasikia wanasema kwani huyu ameambiwa huyu mtoto anavaa nguo za mtumba embu ziweke pembeni uko niliumia san mpaka nikasema siludi tena

Siku nyingine nilikuwa natokea moshi naenda dar nikafikia kwa aunt yangu nikawabebea samaki pamoja na kambale samaki wengine niliwa tuma kwa mama sasa zile mboga hawakupika mpaka wakaoza niliumia

Sasa juzi nikawa napita maeneo nikapitia kwa binamu yangu nilienda mikono mitupu sasa nikafika nikawasalimia nikaaga wakasema uncle wako anataka zawadi anasema leo ujambebea nikazuga nikatoa 5000

Watu wengi tunao hish dar tabia hii mnayo sana
unatumia sample ya ndugu zako ku-weka conclusion?
 
Walimwengu ni kukaa nao kiroho mbaya tu.
Bora waseme huwajali.
Wao ni nani mpaka wakupangie cha kuwapa
 
Nimewabebea dagaa .Tena wale dagaa safi ndoo
nzima. Wakawa chakua Cha mbwa..
Mpaka leo sitopeleka mboga aina yoyote iwe samaki au dagaa.


Ndugu..tuwaheshimu watu wanao tujali. Nikweli tunazidiana aina za maisha tujifunze pia kuwathamini tunao wazidi vipato au Elimu.
 
Back
Top Bottom