Hii ndiyo sababu iliyonifanya hata nikienda kumtembelea ndugu yangu sibebi zawadi

Hii ndiyo sababu iliyonifanya hata nikienda kumtembelea ndugu yangu sibebi zawadi

Nimewabebea dagaa .Tena wale dagaa safi ndoo
nzima. Wakawa chakua Cha mbwa..
Mpaka leo sitopeleka mboga aina yoyote iwe samaki au dagaa.


Ndugu..tuwaheshimu watu wanao tujali. Nikweli tunazidiana aina za maisha tujifunze pia kuwathamini tunao wazidi vipato au Elimu.
Ahahahahan mpbka nimekucheka hila pole ndio walivyo
 
WEWE UNA NYOTA YA BUNDI NA PEPO LA KUKATALIWA.

NJOO BONYOKWA NIKUWEKEE MIKONO NIKUPE NA MAFUTA YA UPAKO!
 
Hao ndugu zako hawana utu hata kidogo, ukipewa zawadi unashukuru ikiwa haikufahi au hujapendezwa nayo unaitunza vizuri ipo siku atatokea mtu mwingine unampatia tena itamfaa sana kuliko kuonyesha mbele ya mtu aliyekupatia kwamba hujaipenda.

Pole kwa hayo yaliyokutokea.
 
We baba paroko kashaniombea sitak maombi ya kelele na si shawishiwi kwa mafuta ya upako siku nitakuja na uzi wenu unao husu hayo mafuta
Kwa taarifa yako Mimi ni kijukuu cha FATHER NKWERA, maparoko wote wanaujua muziki wetu!
 
Za usiku siku imeendaje?

Ilikuwa hivi nilikuwaga nakaa mkoani basi nikaenda kumtembelea binamu yangu nilikuwa natokea mtwara nikanunua korosho nimpeleke zawadi nikampa nilipo fika sasa nikiwa najianda kwenda kuoga nikasia wanaongea itakuwa kanunua buku buku wana lahisisha mamb basi nikapotezea

Wanao hish mtwara nazani wanajua bei za korosho zilivyo juu

Sasa siku nyingine binamu yangu alikuwa kapata mtoto sasa ilipita miaka 2 sijaenda kumuona siku naenda nilibeba kitenge na khanga nikampa siku nyingne kwakuwa yule mtoto alikuwa ananipenda sana nikapita karume nikaona nguo za watoto mzuri nikanunua nimpeleke mtoto zawadi zilikuwa za mtumba nilipo mpelekea wakapokea wakasema mzuri asante wakaenda chumban mh nikawasikia wanasema kwani huyu ameambiwa huyu mtoto anavaa nguo za mtumba embu ziweke pembeni uko niliumia san mpaka nikasema siludi tena

Siku nyingine nilikuwa natokea moshi naenda dar nikafikia kwa aunt yangu nikawabebea samaki pamoja na kambale samaki wengine niliwa tuma kwa mama sasa zile mboga hawakupika mpaka wakaoza niliumia

Sasa juzi nikawa napita maeneo nikapitia kwa binamu yangu nilienda mikono mitupu sasa nikafika nikawasalimia nikaaga wakasema uncle wako anataka zawadi anasema leo ujambebea nikazuga nikatoa 5000

Watu wengi tunao hish dar tabia hii mnayo sana
Yani me kusema kweli moyo wa unafki hua Sina......wangesema uncle wako anataka zawadi ningekwambia Kuna siku nlileta nguo za mtumba mkaanza kuropoka huko chumbani........🤣🤣🤣
 
Je wanaotoka mjini wanaenda kijijini na Boflo wanaporudi mjini wanabeba mizigo zaidi ya thamani ya Boflo hao vp?
 
Je wanaotoka mjini wanaenda kijijini na Boflo wanaporudi mjini wanabeba mizigo zaidi ya thamani ya Boflo hao vp?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Tena hadi mihogo mibichi[emoji23]
 
Hii scenerio imeshawapata wengi inaumiza sana
Nimewabebea dagaa .Tena wale dagaa safi ndoo
nzima. Wakawa chakua Cha mbwa..
Mpaka leo sitopeleka mboga aina yoyote iwe samaki au dagaa.


Ndugu..tuwaheshimu watu wanao tujali. Nikweli tunazidiana aina za maisha tujifunze pia kuwathamini tunao wazidi vipato au Elimu.
 
Nimewabebea dagaa .Tena wale dagaa safi ndoo
nzima. Wakawa chakua Cha mbwa..
Mpaka leo sitopeleka mboga aina yoyote iwe samaki au dagaa.


Ndugu..tuwaheshimu watu wanao tujali. Nikweli tunazidiana aina za maisha tujifunze pia kuwathamini tunao wazidi vipato au Elimu.
hahahahaaaaaaaaaaaaa



aiseeeeeeeeeeeeeeee

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂apechealolooooooooooo😂😂😂😂😂😃😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃 wanajifanya na uzungu mwingi sana sio eee😂😂😂😂😂😂😂 blalfakin
 
Ngugu zako akili zao za kiduwanzi sana piga spana za kichwa hao
 
Wengine hatubebagi zawadi. Kwanza kutembea na mizigo ni usumbufu.
Tunaenda mikono kitupu tunaondoka mikono kitupu.
Tukifika huko ugenini tukishasalimia ndio tunaenda kununua mahitaji kulingana na Mazingira ya wenyeji wangu
 
Back
Top Bottom