Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Pole sana. Sababu ya huyo jamaa kukutelekeza, ilikuwa iko wazi kabisa.

Yaani matarajio yake yalikuwa ni tofauti kabisa na kile alicho kitegemea kutoka kwako/ alichokiona/alichokikuta kule chumbani.

Hivyo hutakiwi kumlaumu. Maana chanzo ni wewe mwenyewe.
Lakini SI Bora hata angemdanganya kuwa kapata dhalula! Kuliko kumwacha Hadi Ile laki iishie guest huku hata nauli hajatoa
 
USIKUTE ULIKUWA UNANUKA KISAMAKI[emoji23][emoji23]

NILIWAHI KUKUTANA NA DEMU KAM HUYO NILIPIGA ROUND 1 TU BADAE NIKAMUAGA KUWA NAENDA KAZINI MARA MOJA KUNA DHARURA ILA NAGEUKA


KIMOJAAAAAAA
 
Alafu nakuhisi kitu, Kuna uzi mmoja hivi pia uliandika kuhusu kutoridhika na huduma ya njema uliyekutana nae insta, leo unaleta hi.. inawezekana wewe ndo huduma yako mbovuuuuuu.

Ndo maana hudumu nao.
Fukua makaburi chief
 
Badala ya kumlaumu jamaa, alipaswa ajitafakari yeye mwnyw binti Tatizo liko wapi.

Ingekua Ni mhuni Basi hata iyo laki asingemuachia,angemtoroka kimya kimya.

Hapo Tatizo Ni binti Sio jamaa,

Na laiti jamaa nae angepewa nafas ya kufunguka,Basi najua Hali ya hewa ingechafuka hapa.

Wanaume tunabeba mengi sn kifuani,
Ni ngumu sn kumchana mwanamke Moja Mbili tatu, unamuonea huruma unampa nauli aende zake tu kwa amani.
Kuna mahali mwenye Uzi Kasema waligombana asubuhi; na Kwa haya majibu anayoyatoa humu anaonekana yeye ndio tatizo.
 
USIKUTE ULIKUWA UNANUKA KISAMAKI[emoji23][emoji23]

NILIWAHI KUKUTANA NA DEMU KAM HUYO NILIPIGA ROUND 1 TU BADAE NIKAMUAGA KUWA NAENDA KAZINI MARA MOJA KUNA DHARURA ILA NAGEUKA


KIMOJAAAAAAA
Hukurud Moja kwa Moja?[emoji38]
 
Hukurud Moja kwa Moja?[emoji38]

ilikuwa mazima kabisaa.

Yani unapiga tako kadhaa unachomoa ubooo unakutana na harufu kali kama ya shombo la samaki kibaya zaidi demu mkali sanaaaaa aiseee yani wamempa jina la Paula jinsi alivyofanana na paula wa kajala ila ndo hvyo kisamaki jau
 
Kama huyo kwenye avatar ni wewe, uyo ngosha atakua katili sana
 
USIKUTE ULIKUWA UNANUKA KISAMAKI[emoji23][emoji23]

NILIWAHI KUKUTANA NA DEMU KAM HUYO NILIPIGA ROUND 1 TU BADAE NIKAMUAGA KUWA NAENDA KAZINI MARA MOJA KUNA DHARURA ILA NAGEUKA


KIMOJAAAAAAA
Kwa hii mitoto ya sikuhizi inaezekana sana. namm sishangai huyo jamaa kula zake kona. Hawanywi maji ya kunywa ya kutosha na mboga za majani hawataki kuzisikia. Wao ni chipsi mayai na soda pepsi au koka basi. Sasa matokeo yake ndo hayo. Mtu anatoa harufu ya kisamaki huko uchin yani utafikiri mko feri pale magogoni kumbe mpo rwagasore mwanza tena chini ya kiyoyozi.

au s'tyms upo na dem lakn muda wooote yy yupo kwenye simu yake tu anachat adi usiku mwingi uko mara aingie insta sijui snapchat fesibuku huko anasahau kwann ameletwa pale na kwann mpo wawili tu. kwa hawa aisee inabidi unyago urudi na uwe wa lazma.
 
Mi najifurahisha tu mpendwa usinichukulie siriazi.

Itoshe tu kusema huyo ngosha mwenzetu alizingua. Sasa usingekuwa na pesa za kulipia hizo siku tatu ulizokaa hapo ingekuwaje? Hata kama alikuta yaliyopaswa kuwemo hayamo, hakupaswa kufanya hivyo. Angalau angelipia hiyo huduma ya usiku mmoja ndiyo atokomee zake. Pole sana!
Si amesema alipewa laki! Kwa night moja inatosha .Shida lengo lake lilikua ni kupata pesa coz inaonyesha alikua amejazwa upepo.

Ni kwamba matarajio yalizidi uhalisia. Huku yeye akijifariji ila mwamba hakukuta maajabu yoyote.

Mleta mada kaamua limtoke ila tafsiri ya kukimbiwa inaonyesha Kuna kitu hakikua sawa .
 
Back
Top Bottom