Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Hii ndiyo sababu inayonifanya nisikutane na mwanaume hasa wa mkoani

Ujue Hii story
Nmemkumbuka cutelove vs Maghala

Hivi hivi binti alikimbiwa gesti akaachiwa Elfu 7 mezani, Alipokuja anzisha Uzi kumlalamikia jamaa, jamaa hasira zikampanda akamwaga ugali kwa kuanzisha Uzi mwngn against yeye.

Binti aliona aibu sn Hadi I'd yake skuhz siion kabisa,sjui kaitelekeza au vipi[emoji4]
Hata huyu ni swala la muda tu, hizi tuhuma ni nzito sana😂
 
Ujue Hii story
Nmemkumbuka cutelove vs Maghala

Hivi hivi binti alikimbiwa gesti akaachiwa Elfu 7 mezani, Alipokuja anzisha Uzi kumlalamikia jamaa, jamaa hasira zikampanda akamwaga ugali kwa kuanzisha Uzi mwngn against yeye.

Binti aliona aibu sn Hadi I'd yake skuhz siion kabisa,sjui kaitelekeza au vipi[emoji4]
Humu watu hawaondoki wanakuja na ID mpya kila siku, kama we ni mjanja wa kuunganisha dot unawadaka wengi tu!

Juzi Kuna jamaa alikua anatoa story anasema ni hadithi lkn mle kwenye hadithi naona kbs mi nimehusika baadae nkamwambia we ni flan nikampa details baadhi ya details zake, kakimbia uzi wake na story imekoma
 
Humu watu hawaondoki wanakuja na ID mpya kila siku, kama we ni mjanja wa kuunganisha dot unawadaka wengi tu!

Juzi Kuna jamaa alikua anatoa story anasema ni hadithi lkn mle kwenye hadithi naona kbs mi nimehusika baadae nkamwambia we ni flan nikampa details baadhi ya details zake, kakimbia uzi wake na story imekoma
Weka tag tukajionee😅
 
Humu watu hawaondoki wanakuja na ID mpya kila siku, kama we ni mjanja wa kuunganisha dot unawadaka wengi tu!

Juzi Kuna jamaa alikua anatoa story anasema ni hadithi lkn mle kwenye hadithi naona kbs mi nimehusika baadae nkamwambia we ni flan nikampa details baadhi ya details zake, kakimbia uzi wake na story imekoma
Ha ha ha .....aisee, itabd nianze kufatilia
Kumbe watu wanazunguka humu humu[emoji4]
 
Ilikuwa siku mmoja nilikuwa kwenye mapenzi na kijana mmoja wa mwanza tulikutana ofisi fulani baada ya mazoea ya pale aliomba namba nikampa tukawa tunawasiliana kawawaid kila siku mpaka nikajikuta nimeingia kwenye mapenzi nikajikuta nampenda sana mimi na wivu jamani ukiwa na mimi unatakiwa uwe mvumilivu kidogo.

Tulipanga siku ya mimi kwenda mwaza siku ilipofika nilijipanga vizuri nikiwa na basasha nyingi sana ya kukutana nae na kutokana na utani mwingi kipindi cha nyuma nikawa naona safari ndefu sana.

Baada ya kufika siku ya kwaza alinipokea akanipeleka hotel mzuri tu nili lala nae usiku mzima kesho yake morng aliniaga anaenda kazini alinipa pesa ya dharura laki moja kumbee chumba hajalipa nimekaa pale siku tatu mtu hajatokea nikipiga simu apokei kisa sikijui nililipa na kurudi zangu kwetu bila kumpa taarifa.

Ndipo nilipo fika akaanza jiongeleshq oh mimi nilikuwa nimebanwa simu iliisha chaji samahani ulitumia kiasi gani nikupe niliona upumbavu nika kata simu mpaka leo siwezi kumsafiria mwanaume ata awe nakaa nae mkoa mmoja ila wilaya tofauti siwezi.
Mm sipo mkoani...tuyajenge bac!
 
Back
Top Bottom