GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Ninapewa Zawadi kutokana na Uwezo ( Ubora ) wangu Kiuwasilishaji hapa JamiiForums na siyo kwa Chuki zako, Wivu na Upumbavu wako pamoja na Wenzako baadhi hapa.Huyu jamaa nilidhani yuko smart kumbe hakuna kitu. Nimeshangaa nimemhoji kuhusu ushirikina wa hawa wachezaji alisema tena Kwa msisitizo kuwa wanawaroga wenzao badala ya kujibu hoja katoa matusi utadhani tunafahamiana au mimi mtani wake. Then hao ndo wanaopewa zawadi kwa watu wenye michango konki jf.
Hebu nitolee Upuuzi wako hapa. Idiot.Mmmmmm matusi tena, vice versa is true. Thank you.
What's bread in the bone will be seen in the flesh. Asante, kuna siku yako.Sihitaji Kusamehewa na Dame Fools.
Another Fool.Mbona thread yako unawakandia kuwa hawaitwi sababu ni wachawi kwa wenzao. Au umebadili gia makini.
AbeeeeeehMkuu[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
Nimeshatishwa Kuuliwa ( kama ulivyonitishia hapa ) na Wakubwa kukuzidi na baadhi Wamekufa wao huku Wengine sasa wakiwa ni Wendawazimu kama Ulivyo.What's bread in the bone will be seen in the flesh. Asante, kuna siku yako.
Na Sifa nazo Zinanipenda. Kuna mahala nawe Umezuiwa huko Kujisifia kama Mimi? Waswahili mna taabu mno Vichwani mwenu.Unakubali vipi Gazeti la Mwanaspoti juu ya Ushirikina halafu unakataa Taarifa ya GENTAMYCINE ( Mshindi wa Jukwaa Bora la Michezo JamiiForums ) kwa mwaka 2022 na Wiki hii naenda kupokea / kuchukua Zawadi
Ila unapenda kujisifia sana wewe
Sijui.GENTAMYCINE Utabiri wako Kesho ukoje,kuanzia kwenye kikosi kitakachoanza na labda Matokeo kwa ujumla.......???
Hirizi haijifichi, kwani ya Inonga ilionekanaje?
Ushirikina wa MAKOLO upo wazi haujifichi, ni sawa na ule mliowasha moto pale South mkapigwa na fine
Hahahaha Genta Leo Kuna watu wamekuudhi inaonyesha,hauko kwenye mood kabisa...Sijui.
Na Sifa nazo Zinanipenda. Kuna mahala nawe Umezuiwa huko Kujisifia kama Mimi? Waswahili mna taabu mno Vichwani mwenu.
Umeandika ujinga mtupu.Sasa kama GENTAMYCINE nakuwa Informed hivi na nina Sources wangu ( Authoritave, Credible and Reliable ) kila Kona kwanini nisiwe Mshindi wa Jumla ( Bora ) wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums kwa mwaka 2022?
Haya chukueni hii na nawaomba muiamini tena kwa 100% kwani nimeitoa kwa Mtu aliyeko katika Mamlaka Kuu ya Michezo na ana Influence Kubwa katika Kikosi na katika Utendaji.
Sababu Kuu ya Wachezaji hawa Waandamizi wa Simba SC Kuachwa katika Kikosi cha Taifa Stars ni ile ya Kupenda zile Tabia za Uswahili ( Unyangindo ) kwa Wachezaji Wenzao wa Nafasi wanacheza Wao.
Ni Kweli Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya Kuwaona wakicheza na Horoya FC aliwakubali kwa Vipaji na Viwango vyao lakini pia alishaambiwa na Makocha mbalimbali kuwa ni Wachezaji Mahiri na Kuwahitaji Kikosini lakini Kikwazo Kwake kuwapata kitakuwa ni Wao kuwa Wapiga Miba / Pini Wakubwa na Kuwaumiza Wenzao ambao wameshalalamika mno TFF ( kwa Viongozi ) kuhusu hilo.
Na hata mkisikia Wameitwa / Wamejumuishwa Kikosini Taifa Stars itakuwa ni Kutuzuga tu Wadau wa Soka ili tusihoji Kuachwa Kwao, ila huko Kikosini usije Kushangaa ukiona ama hawapangwi kabisa au wako Sub lakini hawatocheza.
Kuhusu Mchezaji Mohammed Hussein Tshabalala kuwa mpiga Miba / Pini mkubwa ( japo ana Kipaji halisi cha Kucheza Mpira ) wala GENTAMYCINE sishangai sana kwani niliwahi Kumsikia Baba yake Mdogo Tshabalala akisema kuwa Mwanae Tshabalala atacheza Yeye na hakuna wa kumuweka Mkeka / Bench labda tu aamue Yeye Kutokucheza na kutaka Kupumzika.
Kwa Wale Majuha ( Msio na Akili ) ambao mtanikatalia au Kutoliamini hili rejeeni Ripoti Maalum ( Taarifa ya Uchunguzi ) ilitoka Jana katika Gazeti la Michezo la Mwanaspoti ilisema kuwa Wachezaji wengi wa Tanzania ( NBC Premier League ) ni Washirikina ( Wanaroga Wenzao ) na ni Wapenda Ngono.
Greatest Of All Time huna Uwezo wa Kushindana nami kwa Habari za Michezo na Uchambuzi wako hivyo nakusihi Chuki yako Kwangu kwakuwa nilikushinda katika Shindano haitakusaidia na nakuhakikishia nikishindanishwa nawe tena Nakushinda / Nitakushinda Asubuhi tu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
===
Pia soma: Kusema Shomari Kapombe na Mohammedi Husein hawakuitwa Taifa Stars kwa sababu ya ulozi huo ni ukosefu wa akili nakuwavunjia heshima wachezaji
Wacha weee!!Ninapewa Zawadi kutokana na Uwezo ( Ubora ) wangu Kiuwasilishaji hapa JamiiForums na siyo kwa Chuki zako, Wivu na Upumbavu wako pamoja na Wenzako baadhi hapa.
Na nitashinda sana hadi mpasuke.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Ninapewa Zawadi kutokana na Uwezo ( Ubora ) wangu Kiuwasilishaji hapa JamiiForums na siyo kwa Chuki zako, Wivu na Upumbavu wako pamoja na Wenzako baadhi hapa.
Na nitashinda sana hadi mpasuke.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Hiyo ripoti maalumu imeutaja huo ushirikina kwa maana ya imani ambayo mchezaji majeruhi ataifuata katika kujitibu kwa waganga wa kienyeji na kuacha matibabu ya kisayansi, wala haikusema ushirikina kwa maana ya wachezaji kurogana kama unavyotaka kulazimisha ieleweke.... ambao mtanikatalia au Kutoliamini hili rejeeni Ripoti Maalum ( Taarifa ya Uchunguzi ) ilitoka Jana katika Gazeti la Michezo la Mwanaspoti ilisema kuwa Wachezaji wengi wa Tanzania ( NBC Premier League ) ni Washirikina ( Wanaroga Wenzao ) na ni Wapenda Ngono.