BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Mimi kuanzia leo nimempuuza, kauli zake si za kiungwana Wala za malezi bora.Sasa mkuu unapoanzisha uzi hapa si inamaana unataka kusikia na mawazo ya wengine? Kwann huwa unatumia lugha kama pumbavu,wajinga na mengine...