Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Tena wewe ni Muongo na mfitini Mkubwa.Ungekuwa unaukweli ungeweka ukweli wa Daudi Bashite.Pumbavu kabisa acha kuingilia maisha ya ndani ya watu.

Hahahaha kakasirika eti, pole kama umeguswa pabaya
 
Usiwe na hasira kamanda. Kwani wewe ni mkewe Lema?
Kwani wewe mumewe wema??Mbona haujaja na issue ya Mwenyekiti wako wa Chama cha Majipu kukimbia na mkewe baada ya kumpa kipindi??

For once acha kuingilia maisha ya watu unakera wewe mtoto wa kike.Kama huna Marinda kayatafute Dodoma
 
Usiwe na hasira kamanda. Kwani wewe ni mkewe Lema?
Kwani wewe mumewe wema??Mbona haujaja na issue ya Mwenyekiti wako wa Chama cha Majipu kukimbia na mkewe baada ya kumpa kipondo?

For once acha kuingilia maisha ya watu unakera wewe mtoto wa kike.Kama huna Marinda kayatafute Dodoma
 
Sijaona umuhimu wa hii mad. Ndoa iko mashakani kivipi? Wewe ndiye unakuwaga refarii? Kama wewe ni kaka wa nape basi mdogo wako anaupeo mkubwa zaidi
 
Mzushi nambari one nchini! Huyu hana mfanowe kwa uzushi katika nchi yetu.

Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
 
IMG-20170315-WA0031.jpg
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
Msema chochote
 
Inawezkna ww ukawa mke wa 2 Wa lema huezi jua sili za ndan kama haupo hapo nyumbn nani kakuambia wakt wanaongea make na mme ulikuepo?
 
Hahahaha ccm mmeishiwa pumzi sasa, yaani habari za akina mwajuma ndala ndefu zimekuwa zako siku hizi?!!!
 
Back
Top Bottom