Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Lizaboni akitoka bashite hapo dar,ukaombe kazi upewe maana naona kama unakaa kaa tu bila kazi
 
Lema anafurahia tu kuuangalia ule msambwanda wa wema
 
Mwambie " yule bwana " aweke mzigo mezani.. Haya wema amesema Mama ongea na mwanao alete vyeti..
 
Lakini si ni kweli Lema ameambatana na wepa bila mke wake
ulishaona wapi makamanda wakaenda vitani na wake zao, hii ka muvi ya vandame vile, yaani ni mapambano kwa kwenda mbele, vita ni vita murah! hata wema twende!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake

Mkuu wewe huwa unaenda kazini na mkeo?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
Kaka naona sasa umeishiwa habari za kuweka kwenye jamvi. Hii ni u-shilawadu zaidi kuliko habari. Tafakari kabla ya kuleta mada kwa watu makini wanaothamini rasilimali zao hasa muda.
 
"Nikimkuta mbunge yoyote wa CCM anamsabahi mbunge wa upinzani nitamvua uanachama na nitakula naye sahani moja" By mwenyekiti mtukufu Pombe
 
Machadema mmeishiwa hoja, kila kukicha mnaishi kwa matukio tu, kwa taarifa yako tukio hilo ndio linayoyoma hivyo, tafuteni tukio jingine, mlianza na la njaa, mkaimba weeee, likapita nausiwe na mvua zinanyesha vyakula vipo, sasa mnaishiwa hoja, jadilini hoja sio kujadili watu.
sawa usiwe na wasi maana vyeti vikiwekwa mwezani tutaishiwa hoja au wewe hupendi tuishiowe hoja sie chadema?
 
sawa usiwe na wasi maana vyeti vikiwekwa mwezani tutaishiwa hoja au wewe hupendi tuishiowe hoja sie chadema?
Kwani hiyo hoja ya vyeti inawasaidia vipi kuongeza wafuasi?
 
Machadema mmeishiwa hoja, kila kukicha mnaishi kwa matukio tu, kwa taarifa yako tukio hilo ndio linayoyoma hivyo, tafuteni tukio jingine, mlianza na la njaa, mkaimba weeee, likapita nausiwe na mvua zinanyesha vyakula vipo, sasa mnaishiwa hoja, jadilini hoja sio kujadili watu.
sawa usiwe na wasi maana vyeti vikiwekwa mwezani tutaishiwa hoja au wewe hupendi tuishiowe hoja sie chadema?
 
Lizabon mind your own business.Lema amaekuja Dar na Mke na watoto wake.Pole sana Katibu mwenezi wa Umbeya Club.iyekupa inform hajalipa information sahihi pole sana.Umbea haulipi.

Umezoea kuchafua akina Bashe malizana na akina Bashe Mwache Lema na familia yako on aibu for once.
hebu weka picha ya lema na watoto wake tujiridhishe
 
Back
Top Bottom