Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Hii ndiyo sababu ya Godbless Lema kutoambatana na mkewe kwenye kesi ya Kamanda Wema sepetu Dar

Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
mama lema kua makini. wema ni jizi la wanaume wa watu wala kwenye siasa hajui anataka nini zaidi ya hela na wanaume.
 
Kamanda, kwani kwenye uzi huu kuna.mahala nimeponda upinzani? Kuwa mpole kamanda
Mr lizabon naona unataka kufanyà siasa mpaka kugombanisha ndoa za watu. Wewe Ni mtu mzima jaribu kujirekebisha, Kuna upuuzi unaoweza kuruhusiwa kuzusha lakini si hapa ulikofikia.
 
Lakini si ni kweli Lema ameambatana na wepa bila mke wake
Unaweza kunihakikishia kuwa Lema huwa kila anapokwenda huwa anaambatana na mke wake? Na je kwenda Dar es salaam Lema ameambatana na wema au Dar es salaam ndiko wema anakoishi?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake

Naona umeamua kupita mule mule kwe maagizo ya Mwenyekiti wako wa chama,hongera zako.

Nyakati za propaganda za kipumbavu kama hiyo zimeshapita,tafuta namna ingine ya kuifarakanisha ndoa ya Kamanda Lema.
 
... Magazeti ya udaku ya Shigongo yanasomwa sanaa ukilinganisha na hard news paper but nini hasa kinapatina kwenye magazeti ya udaku??

Kama unaandaa gazeti halafu halisomwi hilo halina kitu. Lenye kitu linasomwa, lazima lisomwe, kama hayana kitu wewe unafikiri waenda kuyachambia?
 
MBUZI kafia kwa wauza SUPU. Siasa zetu full comedy eti WEMA nae KAMANDA 😀😀😀
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Habari inayotrend kwa sasa ni tukio la Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kumkataza mkewe kutofuatana naye Dar kwa ajili ya kesi ya Kamanda Wema Sepetu. Mke wa Lema amesikika akimshauri mumewe kufuatana naye Dar es Salaam kwa ajili ya kesi hiyo ambayo imepangwa kusikilizwa leo kabla haijaahirishwa. Hata hivyo, Godbless Lema alimsihi mke wake abaki nyumbani aangalie watoto wakati yeye anapambana kumsaidia kamanda Wema ambaye ameonesha uungwana wa kwenda Arusha mara mbili kwa ajili yake.

Inadaiwa kuwa awali Mama Lema hakuwa tayari kumuacha mumewe aende pekee Dar es Salaam kwa madai kuwa usalama wake upo mashakani. Hata hivyo, Lema alimtoa hofu hasa baada ya kumhakikishia kuwa ataambatana na Kamanda Kalist Mabina.

Godbless Lema atakuwa Jijini Dar es Salaam kwa siku kadhaa kwa ajili ya maandalizi ya hafla ya kumkabidhi Kadi ya CHADEMA Kamanda Wema na kwamba wawili hao watakuwa wanakutana mara kwa mara na wakati wowote kwa ajili ya kukamilisha hafla hiyo ambayo inadaiwa kuwa itakuwa ya aina yake
Tueleze sababu
 
Unajua hapa JF watu kazi yao kusinzia sinzia lazima awepo mwana JF wa kuchekesha chekesha CC :Bashite
 
Kizaboni sasa ni wakati wa wewe kugombea Uenyekiti wa SHILAWADU
 
Lakini si ni kweli Lema ameambatana na wepa bila mke wake

Lizaboni na mshipa Pambaf zenu!
The Britons always say:" FOOLISH MIND DISCUSS PEOPLE BUT INTELLIGENT MIND DISCUSS ISSUES"
Huu ni ukweli usiopingika na uko wazi kabisa! Magamba na Maccm ya Lumumba mmekalia umbeya na majungu ya kuzungumzia watu badala ya matatizo yanayolikabili Taifa letu. Ooh, Lema kamwacha mkewe kaenda na Wema,ooh sijui mkewe kakataaa na upuuzi kama huo! Mijitu mizima mnawaza ngono tuuu!!!Jinga kabisa
Zungumzia issue inayowapeleka Lema na Wema Dar ambayo ni KESI ya madawa ya kulevya aliyobambikiwa Bi Wema Sepetu na Daudi Bashite!
 
Back
Top Bottom