Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Hii misemo huwa ai-apply ndugu wakitenda?Asiyejali wa kwao ni mbaya kuliko asiyeeamini
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii misemo huwa ai-apply ndugu wakitenda?Asiyejali wa kwao ni mbaya kuliko asiyeeamini
Wewe ni Mimi kwenye upande mwingine wa Shilling, itoshe kusema hivyoYule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Ndiyo hapo sasa 😅Hii misemo huwa ai-apply ndugu wakitenda?
#YNWA
Never, wao wanafanya hivyo wakisema huwezi kumfurahisha kila mtu na hio ndio principal ya watu wa hivyo dawa ni kuwapa walichokupa ulinipa wema nakupa wema ulinipa ukauzu nakupa ukauzu mara dufuKisasi kizuri ni kutolipiza kisasi.
Pamoja🙏🏿🧢Wewe ni Mimi kwenye upande mwingine wa Shilling, itoshe kusema hivyo
Nani kasemaKisasi kizuri ni kutolipiza kisasi.
Kwahiyo unaamini ya duniani umeyashinda tayari?Kama kwenda mbinguni kunahitaji unafiki, Mimi sitaenda
We bwege mama ni mama tu. ukimwacha utapitia magumu kuliko hayo ya mwanzo. Mama usimwache wengine hata wakifa njaa huna dhambi 😂️😂️😂️😂️Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Basi hii ni chai ya viungo maana Restless Hustler nilimkuta jukwaa la Ajira anaomba kuelekezwa kujaza Ajira portal Sasa najiuliza huyu hii Ajira hana anatafuta ajira na hizi hekari 50 ameziokota wapi au anaota asubuhi asije kua Bill Lugano kaja kivingineNilitaka kusema chai ya nazi au basi
Fanya mambo yako usiwakaribishe Wala kiwashirikisha mambo yko watakuharibia,wale waliokuwa wanakunyanyasa wakat huna ndio roho zao halisi,hawa wa sasa ni feki.Na ukija kuowa jipange mkeo na watoto kuchukiwa kwamba wanafaid hela zako.Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.
Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.
Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.
Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!
Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.
Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.
Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.
Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Na waliokuwa wanatutendea mabaya "Dunia waliijua?""Kwahiyo unaamini ya duniani umeyashinda tayari?
Wewe utoto unakusumbuwa bado hujaijuwa dunia.
Amesahau kuwa JF ina regulations zake za safe browsing.Ngoja nikusaidie huyu mtoto hana adabu wala heshima, asulubiwe.
Sama nilichokiandika. Nimeajiriawa sekata binafsi. Sasa nataka niingie serikaliniBasi hii ni chai ya viungo maana Restless Hustler nilimkuta jukwaa la Ajira anaomba kuelekezwa kujaza Ajira portal Sasa najiuliza huyu hii Ajira hana anatafuta ajira na hizi hekari 50 ameziokota wapi au anaota asubuhi asije kua Bill Lugano kaja kivingine
Hebu weka link hapa tukomeshe hii tabia.Basi hii ni chai ya viungo maana Restless Hustler nilimkuta jukwaa la Ajira anaomba kuelekezwa kujaza Ajira portal Sasa najiuliza huyu hii Ajira hana anatafuta ajira na hizi hekari 50 ameziokota wapi au anaota asubuhi asije kua Bill Lugano kaja kivingine