Hii ndiyo sababu ya mimi kutokuwa na huruma na Ndugu

Hii ndiyo sababu ya mimi kutokuwa na huruma na Ndugu

Kwahiyo unajiona hapo umemaliza yaninkuwa na Viwanja viwili na mshahara WA milion 2 unaona ni hela nyingi.

Saidia watu kijana Acha kulipiza visasi kila MTU duniani ana nafasi yake awe masikini au Tajiri. Ndio maana hata Bakhrresa anamtegemea masikini awe mteja wake WA bidhaa. Usiishi Kwa visasi. Hizo Mali ulizonazo ni ndogo Sana na chache usitake kujiona umefika kuanza kuwadharau watu. Kwanza Mali zenyewe sio Cash inflow kwako means siku ukivuruga kazini ukapigwa chini utauza hizo Viwanja ....


Wewe ndio inabidi uwe mwanzo WA tabia mpya kwenye familia. Vunja roho za visasi
 
Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.

Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.

Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.

Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!

Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.

Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.

Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.

Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Huyo sista hako chinjia baharini

Miye Nina mantra moja tu:

Kama hukunipenda au kunithamini nikiwa chini basi usipoteze muda wako siku nikizipata nikawa juu

Kaa mbali na mimi
 
Miye kama hukunijali kipindi nipo chini,siku nikizipata pita hivi
Kwahiyo unajiona hapo umemaliza yaninkuwa na Viwanja viwili na mshahara WA milion 2 unaona ni hela nyingi.

Saidia watu kijana Acha kulipiza visasi kila MTU duniani ana nafasi yake awe masikini au Tajiri. Ndio maana hata Bakhrresa anamtegemea masikini awe mteja wake WA bidhaa. Usiishi Kwa visasi. Hizo Mali ulizonazo ni ndogo Sana na chache usitake kujiona umefika kuanza kuwadharau watu. Kwanza Mali zenyewe sio Cash inflow kwako means siku ukivuruga kazini ukapigwa chini utauza hizo Viwanja ....


Wewe ndio inabidi uwe mwanzo WA tabia mpya kwenye familia. Vunja roho za visasi
 
Mama kama binadamu mwingine anaweza kufanya makosa .

Sio mama wote wanapenda watoto wao,

Tusikariri,

Wengine walifanya kila jitihada kutoa hiyo mimba Mungu akakataa.

Sasa mama wa hivyo unazani atakupenda?

Wengine wamejikuta wamezaa tu wala hawakupanga kumzaa huyo Mtoto.

Mtoto anakuwa na Roho ya kukataliwa
 
Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.

Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.

Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.

Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!

Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.

Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.

Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.

Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Kwanza mshukuru Mungu kwa kila Jambo,hizo shida ulizopitia ndiyo ulikua mpango wa Mungu ili wwe utoke kimaisha,na ungesaidiwa na ndg ungebweteka,na hadi Leo ungekua Mtu wakusaidiwa tu!! Kwa hiyo usiwachukie sana ndg zako,mradi umesha wajua rohoo zao,basi wwe ishii nao kwa akili maana huwezi jua kesho yako hata kama tayari uko vizuri kiuuchumi, Maisha saa yoyote ile yanabadilika,na siyo Kiuchumi tu,hata kiafya!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.

Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.

Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.

Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!

Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.

Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.

Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.

Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
Wasaidie tuu ndugu yangu,Utapata baraka zaidi kwa Mungu!
 
Sometime, inabidi ujue mtu huwa anaamini kwa anachokiona na uelewa wenu hauko sawa kati ya wewe na Mama yako.

Usiamini kwamba Mama hakutakii mema, na kweny maisha yote tangu baba ako afariki usimuhukumu Mama kwa suala la kukusimanga tuu,nadhani hilo ni sehem ya mengi.

Weka mzani wa mazuri na mabaya yake, remember kulea mtoto mpaka awe na akili sio kitu rahisi.
 
Kuna watu mnapenda kutetea ujinga,hivi watu waliokutosa ukiwa mtoto wanaweza kukusaidia kipi hasa ukiwa mtu mzima? Ndugu wa namna hiyo akirudi anakuwa amerudi kimaslahi tu, na kamwe asingerudi ungeendelea kuwa kapuku.
Kama wao ndo walilianzisha inabidi muishi humo humo hakuna namna.
 
Baba yangu alifariki wakati nikiwa Mtoto mchanga hivyo nililelewa na Mama tu naye hakuwa na uwezo Hivyo nilisomeshwa na wasamaria wema. Mtu pekee Aliyekuwa na uwezo wa kiuchumi Ni dada aliyeolewa na yeye hakutaka mazoea kabisa.

Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu, nilipofika Chuo nikawa natumia boom(mkopo wa elimu ya juu) kumtunza mama. Imagine mtu nilikuwa nalipwa laki tano na kumi na kupaswa niitumie kwa miezi miwili lakini nilikuwa najibana kwa kadiri iwezekanavyo nitumie mama Kati ya elfu 60 na 100,000.

Nilipomaliza chuo nikarudi nyumbani, hakuna ajira na Sina mtaji wa biashara au kilimo, nikawa nashinda ndani kwa mawazo au siku nikibahatisha kibarua Cha zege au kumsafishia mtu shamba naifanya kwa nidhamu, napata hela ya bundle la muendelezo wa kusaka ajira.

Ajabu ya karne; Mama mzazi alianza kunisimangia chakula na kunialaumu kuwa nilitumia vibaya mkopo wa Chuo nilikuwa nawapa makahaba wa mjini na kwamba ningekuwa na akili ningetambua kuwa mimi ni Mtoto yatima na ningetunza akiba ili nimalizapo chuo nifungue kioski!

Mungu siyo Shetani, baada ya miaka miwili ya ukosoefu wa ajira, nikapata kazi nzuri Sana kwenye moja ya taasisi za Kimataifa, nimeanza kusahau yale maisha magumu. Nimewekeza katika ardhi, nimenunua ekari 50, nimenunua viwanja viwili Arusha mjini na kimoja Kibaha. Kwa Sasa nawaza kununua power tiller(KUBOTA) ili inisaidie kwenye kilimo ambacho nitakianza mwakani rasmi.

Sasa nikikumbuka vituko vya mama, na Ndugu kuwatumia hela napata taswira ya yale maneno yale masimango. Naghairisha.

Yule dada Aliyekuwa na uwezo wa kunisomesha akagoma, Benki imewafilisi, wakaachana na mumewe. Amebaki kunipigia simu eti "nilikuwa nakusalimu" wakati kipindi nipo down hakuwahi kunipigia na nikimpigia hapokei simu, nikimpigia kwa number ngeni akishafahamu Ni mimi, anakata.

Maisha ya hapa Duniani ni fumbo
ili upate mafanikio zaidi wasamehe wote
 
Kuna watu mnapenda kutetea ujinga,hivi watu waliokutosa ukiwa mtoto wanaweza kukusaidia kipi hasa ukiwa mtu mzima? Ndugu wa namna hiyo akirudi anakuwa amerudi kimaslahi tu, na kamwe asingerudi ungeendelea kuwa kapuku.
Kama wao ndo walilianzisha inabidi muishi humo humo hakuna namna.

Huyo dada amkatae ila sio Mama, kisa tuualitoa lugha ya masimango, ilhali kashasema mama maisha aliyoyapitia, unaona kabisa mategemeo yake kwa mwanafunzi wa chuo yalikuwa yapi, sometime mabimkuwa ni stress, umri, na ugumu wa maisha ndio huwafanya yote hayo.
 
Back
Top Bottom