Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kwahiyo unajiona hapo umemaliza yaninkuwa na Viwanja viwili na mshahara WA milion 2 unaona ni hela nyingi.
Saidia watu kijana Acha kulipiza visasi kila MTU duniani ana nafasi yake awe masikini au Tajiri. Ndio maana hata Bakhrresa anamtegemea masikini awe mteja wake WA bidhaa. Usiishi Kwa visasi. Hizo Mali ulizonazo ni ndogo Sana na chache usitake kujiona umefika kuanza kuwadharau watu. Kwanza Mali zenyewe sio Cash inflow kwako means siku ukivuruga kazini ukapigwa chini utauza hizo Viwanja ....
Wewe ndio inabidi uwe mwanzo WA tabia mpya kwenye familia. Vunja roho za visasi
Saidia watu kijana Acha kulipiza visasi kila MTU duniani ana nafasi yake awe masikini au Tajiri. Ndio maana hata Bakhrresa anamtegemea masikini awe mteja wake WA bidhaa. Usiishi Kwa visasi. Hizo Mali ulizonazo ni ndogo Sana na chache usitake kujiona umefika kuanza kuwadharau watu. Kwanza Mali zenyewe sio Cash inflow kwako means siku ukivuruga kazini ukapigwa chini utauza hizo Viwanja ....
Wewe ndio inabidi uwe mwanzo WA tabia mpya kwenye familia. Vunja roho za visasi