Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi

Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Mmesikia nyie wanaume

Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni

Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili

Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana

Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
 
Mnatumia vitu vya ajabu sana ndio maana tunaonekana hatuna maana

20230818_083923.jpg
 
Back
Top Bottom