Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali