Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
WE MBONA UKO HAPA!ya mavaz yako ambayo hayawavuti wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WE MBONA UKO HAPA!ya mavaz yako ambayo hayawavuti wanaume
POLESijasoma ila jamaa n hatar sana
niko nyumbani 😀WE MBONA UKO HAPA!
Mmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
Aiseeniko nyumbani 😀
Nyie akina Nani??Na nyie acheni kutuonesha maungo yenu hamvai vizri kujistiri
Mbona kama umeshtuka bossAisee
Hzo ni chache lkn asilimia 75 ya picha kwenye mitandao ya kijamii ni za wanawake tena wakiwa nusu uchi au uchi kabsaN
Nyie akina Nani??
Embu weka picha tuone wap tunakosea
Hii dunia hii.... mpaka nimekosa cha kusema.
Nifanyaje tenaMbona kama umeshtuka boss
Kwahiyo uliona hivyo nguvu zinakuisha??Hzo ni chache lkn asilimia 75 ya picha kwenye mitandao ya kijamii ni za wanawake tena wakiwa nusu uchi au uchi kabsa
Hahahaha, pole hahahaHii dunia hii.... mpaka nimekosa cha kusema.
My gu NI PendoHivi Unajua Upendo Unaanza Kwa Kutamani?
Hamna acha tu [emoji4]Nifanyaje tena
Acha tu wakazwe maana haina namnaNguvu za kiume hazijapungua ttzo ni nyie wadada au watoto wa kike mmeanza mapenzi mkiwa bado ktk umri mdgo kwa kushiriki mapenzi na wanaume walowazidi umri kwaiyo mmekomaa
Tz ya leo ni ngumu sana kumkuta binti wa 16 yrs bikra ila ni rahisi sana kumkuta kijana wa 26 bikra
Mabinti acheni mapenzi na watu wazima inawakomaza mkiwa bado wadgo
Sasa nyuchi zipo mtaani mtu anaona vitu vya kawaida. Maungo yanatakiwa kufichwa maana ndio yanaleta hamasa.Kwahiyo uliona hivyo nguvu zinakuisha??
Hapa kuna mabinti 3 Wana bikra zaoNguvu za kiume hazijapungua ttzo ni nyie wadada au watoto wa kike mmeanza mapenzi mkiwa bado ktk umri mdgo kwa kushiriki mapenzi na wanaume walowazidi umri kwaiyo mmekomaa
Tz ya leo ni ngumu sana kumkuta binti wa 16 yrs bikra ila ni rahisi sana kumkuta kijana wa 26 bikra
Mabinti acheni mapenzi na watu wazima inawakomaza mkiwa bado wadgo