Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Nenda YouTube utanionaWeka picha yako tukuangalie tuone...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda YouTube utanionaWeka picha yako tukuangalie tuone...
Hii kutumia pia NI dhambi
Haya Bustani ya Eden lilikuwepo, kasome Biblia yakoKumbe kuna vazi linaitwa uchi??
Naomba unitumie picha Yako pm.dau nono lipoMmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
Mungu alikupa MTU wako Acha kudandia wake za watuSa Mtu anae tumia hii kitu unafikiri wewe na ki boor chako utaweza kumkojoza
Hata zenu pia, naskia Hadi kwenye mtaro mnapita🏃🏃🏃Duh Ila nyuke za dada zetu znapitia majarbu mengi sn [emoji3]
Nyie wanaume mmekosa thamani mnapita mpaka sodoma, wakati Mungu kakatazaTatizo wanawake wamekosa thamani utu wao unategemea Hela.
Kwahiyo kosa NI la wanawake au nguvu za kiume?!Sasa nguvu za kiume zinapungukaje hapo?
Mdada mvaa nguo fupi na mwenye kutamanisha wanaume na yeye ni mzinzi tu kama hao wanaume anaowazinisha kwa kuwatamanisha.
Nyie wanaume mmekosa thamani mnapita mpaka sodoma, wakati Mungu kakataza
WoyoooooooooooooooKwani huyu ndio ulimlia bamia, hadi ujadili pipe yake....🤔!!
Shemeji dadangu anakusoma huku anauza mkaaBasi njoo unitanie na mimi mkuu...😋
Maana huki penye miti hakunaga wajenzi...😊
Weka hapa hapa....Nenda YouTube utaniona
Kwahiyo nguvu za kiume hazipungui sababu MTU Yuko uchi??Siamini ilo uyo ni mme wako ndio nguvu zake za kubahatisha
Nenda YouTube channel yangu utanionaNaomba unitumie picha Yako pm.dau nono lipo
Asante Kwa promo
Iyo wewe umeitoa wapi? Hazipungui ila zinachochea hisia kupandaKwahiyo nguvu za kiume hazipungui sababu MTU Yuko uchi??
Kuna shemela ameshaweka hapo Juu angaliaWeka hapa hapa....
Swala la nguvu za kiume ni mifumo ya mwili kuwa imaraMmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali