Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
Sasa mbona wenzio wanasema hivyo huku mitandaoniIyo wewe umeitoa wapi? Hazipungui ila zinachochea hisia kupanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona wenzio wanasema hivyo huku mitandaoniIyo wewe umeitoa wapi? Hazipungui ila zinachochea hisia kupanda
HaleluyahSwala la nguvu za kiume ni mifumo ya mwili kuwa imara
Mfumo wa mzunguko wa damu (cardiovascular system), mfumo wa homoni, mfumo wa neva za fahamu (neva na ubongo), mfumo wa uzazi
Mifumo hii ikifanya kazi vizuri bila hitilafu huwezi sikia upungufu wa nguvu za kiume
Shida kubwa ni Lishe duni na mtindo mbaya wa maisha ambao ambao unapelekea kuathiri mifumo hii
Kula vizuri (kiafya), epuka kula vitu vya ovyo ovyo (vyenye makemikali ), fanya mazoezi, balance stress, kunywa maji ya kutosha, punguza uzito na kitambi
Upungufu wa nguvu za kiume utausikia tu
Ila Kama mwanaume vyakula vyako ni chipsi, soda, wanga kwa Sana umeisha ni swala la muda tu
Nani uyo?Sasa mbona wenzio wanasema hivyo huku mitandaoni
Nikipata video nakutag usijaliNani uyo?
Anamatatizo yake binafsi
njoo pm Acha mbwembwe nyingi.Nenda YouTube channel yangu utaniona
Njoo mwenyewe Mimi Niko Kwa Yesu hapanjoo pm Acha mbwembwe nyingi.
Sawa note itNikipata video nakutag usijali
Duh! si ndio huyu amesema kuwa anaomba wadada waache kukaaa uchi !
Ndio ushangae yeye maezamilia kumaliza nguvu za wanaume kabisaDuh! si ndio huyu amesema kuwa anaomba wadada waache kukaaa uchi !
Sio poa shemejiShemeji dadangu anakusoma huku anauza mkaa
Hahahahaha, utapigwa na mkaaSio poa shemeji
Mmmh Peny unahakika Nilie pewa kanipa Mungu.Mungu alikupa MTU wako Acha kudandia wake za watu
Tutathibitishaje kuwa wewe sio miongoni mwa wanaochangia kupunguza hizo nguvu naomba picha kwa uthibitisho bossMmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
Chukua maua Yako [emoji257][emoji257][emoji253][emoji259]Mmesikia nyie wanaume
Ukimuangalia mwanamke Kwa kumtamani ushazini nae moyoni
Tunaomba mpunguze idadi ya waenda Motoni ACHENI ngono na tamaa za mwili
Ndio maana nguvu za kiume zinapungua sana
Tunaomba wadada muache kuvaa uchi ili wanaume wabaki kuwa marijali
Ubarikiwe sanaChukua maua Yako [emoji257][emoji257][emoji253][emoji259]
Kwa picha ipi??Tutathibitishaje kuwa wewe sio miongoni mwa wanaochangia kupunguza hizo nguvu naomba picha kwa uthibitisho boss
Kwan ulimtoa wapMmmh Peny unahakika Nilie pewa kanipa Mungu.
ya mavaz yako ambayo hayawavuti wanaumeKwa picha ipi??