Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi

Na nyie acheni kutuonesha maungo yenu hamvai vizri kujistiri
 
N

Nyie akina Nani??
Embu weka picha tuone wap tunakosea
Hzo ni chache lkn asilimia 75 ya picha kwenye mitandao ya kijamii ni za wanawake tena wakiwa nusu uchi au uchi kabsa
 

Attachments

  • 69665460_1308189896004938_3618442335504826368_n.jpg
    38.1 KB · Views: 2
  • 140383156_1557916437931366_694760236407515823_n.jpg
    25.2 KB · Views: 3
Nguvu za kiume hazijapungua ttzo ni nyie wadada au watoto wa kike mmeanza mapenzi mkiwa bado ktk umri mdgo kwa kushiriki mapenzi na wanaume walowazidi umri kwaiyo mmekomaa

Tz ya leo ni ngumu sana kumkuta binti wa 16 yrs bikra ila ni rahisi sana kumkuta kijana wa 26 bikra
Mabinti acheni mapenzi na watu wazima inawakomaza mkiwa bado wadgo
 
Acha tu wakazwe maana haina namna
 
Hapa kuna mabinti 3 Wana bikra zao
Mmoja ana Miaka 45
Mmoja ana Miaka 38
Mmoja ana Miaka 53
Ongea practical sio nadharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…