Uchaguzi 2020 Hii ndiyo siri wabunge wa CCM kumsifu Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Hii ndiyo siri wabunge wa CCM kumsifu Rais Magufuli

Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Kwa hiyo kujenga vituo vya afya ndiyo mnamwita JPM Mungu? Mkuu hebu kuweni serious kidogo Magufuli si wa kwanza kufanya hayo anayoyafanya mbona Nyerere hamkumwita Mungu? Kikwete vipi hakufanya kitu?

Halafu kazi za Magufuli haziwezi kukunadi wewe kamati kuu, kamati kuu inakuangalia wewe kama wewe hivyo kama hukuimba pambio za kutosha kwisha habari yako.
 
Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.

Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?

Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.

Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.

Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
Ubunge siku hizi ni kazi Kama kazi nyingine si uwakilishi wa wadanganyika tena.Sasa naelewa why bunge limekuwa dhaifu zaidi miaka hii ya Tanzania ya viwanda kuliko enzi za mzee Kinjekitire
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Endelea kulamba makalio, usije ukatupwa kwenye uteyuzi ujao! Mwanaume na akili zako unamfananisha magu na Yesu? Akili matope nyie!
 
Dikteta angetaka kuwachezea makalio hawa wapuuzi ili awape teuzi wasingekataa, yaani wamejishusha hadhi na utu wao hadi inatia KINYAA.

Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.

Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?

Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.

Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.

Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
 
PUMBAVU jingine hili linajikomba kwa
******* mpaka linatia AIBU kisa apate TEUZI TU!

Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
 
Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.

Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?

Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.

Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.

Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
Kabisa hakuna jinsi lazima umsifie MEKO ili akuteue kwenye kura za maoni.
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Huu mwandiko kama wa KIDUKULU


Naunga mkonyo hoja

Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani ikiwezekana apewe miaka 15 zaidi akimaliza 10 ya kwanza.
 
Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.

Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?

Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.

Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.

Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
Sasa mbona tunapowapigia kelele wakabadilishe, sheria na Sera mbovu ili secta binafsi iajili watu wengi wanagonga meza tu,

waje tu huku mtaani tutaabike wote siku akili zao zikikaa sawa tufanye mapinduzi ya kifikra na kuondoa ubabaishaji was ccm
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
wewe mwenyewe Ni mfano mzuri ...

USINGERUDI! narudia Tena USINGERUDI kwenye first eleven kama sio kwa mbinu Hii...

probably Kangi lugola amejifunza kutoka kwako....
 
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Ukiwa kama mwana dini na mkristo safi je unazan ni sahihi kwa Kangi kumfananisha Magu na Yesu
 
ukweli lazma usemwe, ni swa na hawa vijana wenzangu wa CCM-MATAGA, wanasifia mpaka wanamkashifu Mungu, siyo kipindi kile cha miaka ya 1990 tulikuwa tuna
Jamaa wanapiga mapambio hatariiii....
bwana wa mabwana mungu wa miungu alufa na omera nan kama mwewe........
 
Back
Top Bottom