Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
- Thread starter
- #41
Much appreciation mkuu🙏Nashukuru sana mkuu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Much appreciation mkuu🙏Nashukuru sana mkuu.....
LabdaUkisoma thread hii mpaka mwisho utaelewa hakuna ubaguzi wowote mkuu. Ubaguzi unahisisha races, gender, tribes, nations, n.k
No any kind discrimination involved in this thread.
Nikupe pole Sir, Natumaini ulikua upande wa FranceCheers Pal'.
Leo nilikuwa nipo neutral kabisa, sikuwa upande wowote sir.Nikupe pole Sir, Natumaini ulikua upande wa France
Kwakweli, ndo maana watu wamemute maana ni zaidi ya Facebook.Cheza na beat mkongwe...
Mwaka gani🤣?Inabidi uanzishwe uzi maalamu wa kutaja majina maana nyuzi za list zimetamalaki kama Jf ya mwaka fulani hivi..
Haiwezekani yaani lazima ulikua na kaupande umeegemea.Leo nilikuwa nipo neutral kabisa, sikuwa upande wowote sir.
Hakika ni batili mkuu🤣🤣🤣
Muliple ID's hizo mkuu,mtu anajianzishia Thd yakujisifu kisha anaongeza na wengine ili kupotezea.JF Ndo imefika huku siku hizi?
Kwamba mtoa mada anaweza kua mshana Jr¿???😅Muliple ID's hizo mkuu,mtu anajianzishia Thd yakujisifu kisha anaongeza na wengine ili kupotezea.
😀 😀 😀 😀
lara 1 akafungua huduma, ghafla bin vuu akawa mchungaji1. Namkubali huyu mlugaluga Bujibuji Simba Nyamaume
2. Mzee wa vitobo mzabzab
3. Mukausho mikali Numbisa
My all time greats Lara 1 na joka jeusi wakapotea daah? Hawa ndo walini influence kujiunga jf ila sijawakuta active.. nilitaman niwafahamu personal hawa members
RIP Legend Warumi.
Sikua upande wowote Sir.Haiwezekani yaani lazima ulikua na kaupande umeegemea.
Pole sana mkuu.Sikua upande wowote Sir.
Baada ya Morocco kutoka nikaapa kutoshabikia timu yoyote.