Hii ndiyo Tatu Bora yangu ya Wanachama Bora JF kwa 2022

Hii ndiyo Tatu Bora yangu ya Wanachama Bora JF kwa 2022

Screenshot_20221219-071900~2.png

Kwanini hua unaona mimi na mtoa mada ni mtu mmoja????
 
1. Namkubali huyu mlugaluga Bujibuji Simba Nyamaume
2. Mzee wa vitobo mzabzab
3. Mukausho mikali Numbisa

My all time greats Lara 1 na joka jeusi wakapotea daah? Hawa ndo walini influence kujiunga jf ila sijawakuta active.. nilitaman niwafahamu personal hawa members

RIP Legend Warumi.
lara 1 akafungua huduma, ghafla bin vuu akawa mchungaji
 
Back
Top Bottom