Hii ndoa itadumu kweli?Baba wa bibi harusi amruhusu mkwe wake kurudi saa nane usiku mbele ya waalikwa

Hii ndoa itadumu kweli?Baba wa bibi harusi amruhusu mkwe wake kurudi saa nane usiku mbele ya waalikwa

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Niliwahi kuleta uzi humu kuwa ukitaka kujua wazee wa ovyo wanaongezeka kwa kasi nenda harusini..

Leo nimeona clip mtandaoni baba anamwambia binti yake kuwa ole wake siku alete kesi kwake kuwa mumewe amerudi saa nane za usiku...

,akaendelea kudai kuwa hiyo ni kawaida sana kwa wanaume,
Kichaa kapewa rungu...

Aliyaingea hayo siku ya harusi ukumbini kabisa mbele ya waalikwa mabibi na mabwana

Mzee wa ovyo kabisa huyu
 
mzee amesimama kwenye maadili ya kiafrika bint akimsikiliza mzee wake ndoa yake itadumu milele
tangu lini mwanaume akawa na deadline yakurud
 
Back
Top Bottom