Hii Ndoa Tarajiwa Inaniumiza kichwa

Siku hizi hamtaki wanawake wabebe majukumu ya uzazi na ulezi ila ya kuzalisha mali ndani ya nyumba [emoji26]
Ubebe majukumu yake na yako and yet anataka umnyenyekee.
 
Naomba namba zake
 
Oa mtoto wa watu acha hizo. Huyo ni wa kishua kama kwao hana shida...hawezi kuwa na mawazo mengi productive...akikuja kukaa kwako ww sio sio wa kishua so itabidi aanze kujifunza maisha then atakuwa productive na haswa ww ukimcoach vizur. Unless na ww huna wazo productive unamsema tu mwenzio...Unataka very perfect??? Je ww ni very perfect??? Tena huyo kukubali kuishi na ww usiye wa kishua hilo pekee ni wazo productive la huyo binti...usawa huu anakubali kuacha uhondo kwa baba yake aje kukaa kwako ahalaf uone yy hana wazo productive?? Anajua anakuja kuanza kutatafuta na ww..Dah kama unamdrop niunganishie mm nibebe leo leo....
 
Afadhal umeliona ilo wavulana wengne sijui wakoje
 
Ukiacha wezako wanachukua, ukishiba wezako wanakula.
Mawazo yako ni mazuri sana lazima kujitasmni mwenyewe kabla ya kufanya maamuzi. Lakin kama msichana amependa na yupo tayari kulala chini mchukua, kama dona ali wala majani siyo size yako.
Safi Mzee umeongea Economically Zaidi
 
Bless Mkuu
 
Bless up Bro
 
Umeongea Ujinga tofauti na Wenzako...Hongera kwa uvivu wako wa kufikiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…