Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Unaposema kila mtu huzaliwa muislam, hilo umelijua ukiwa bado mkristo au uliposlimu ndo ukafundishwa hivyo?
 
We jamaa hili jina nimeanza kuliona toka mi nimejiunga humu unatetea uislam then unasema umeslim mwaka huu? Dini yenu mnapenda kuieneza kwa matukio ya uongo uongo tu.
 
Yan mapepo yamekuotesha ndoto badala ukemee nawew ukamua kuyafuata.... Maandiko yanasema nahali yamtu yule itakua mbaya kuliko ya awali
 
Yan mapepo yamekuotesha ndoto badala ukemee nawew ukamua kuyafuata.... Maandiko yanasema nahali yamtu yule itakua mbaya kuliko ya awali
Maandiko gani? Maandiko pekee nayoamini ni Quran
 
Una uhakika wa kukuta mabikra kibao, wewe kazi yako itakua moja tu. Kutoa hizo bikra zao huku ukinywa pombe tamu inayotiririka kwenye mitomito.
 
Sawa.
 
Karibu sana hapa kwangu nashuhudia kuslim kwa vijana wangu wasaidizi wa kazi......
Alianza dada wa kazi na aliniambia muda kuwa anataka kuslim ila nikampotezea.Kila mara yeye ni kusikiliza qaswida,kujitanda yani aliyapenda mambo ya kiislamu ijapo hakuna aliye mwambia lolote juu ya hayo.Siku si nyingi akaniambia anataka kujifunza kuswali na quran yani alitaka aanze madrassa sasa hapo nikaona yupo serius hivyo nikamslimisha na hadi sasa kawazidi hata hao waislamu wakuzaliwa kiimani.

Kijana wa ofisi kwangu nae tangu mwezi ule wa ramadhan basi maswali yakawa mengi juu ya uislamu huku nae ni mluther tena mchaga.Nikawa namwambia mengi na kumkaribisha kujiunga ila akagoma kwa wakati huo.Aliendelea na kujifunza kuhusu uislamu youtube na huko alikutana na akina mazinge na wajuzi wengine akajifunza ambayo hakuwahi kujifunza kabla.Kiukweli alijifunza mwenyewe na kusikiliza tafsiri ya quran kiswahili na aliipenda kwakweli mana haipiti siku hajasikiza sura yoyote.Basi siku sinyingi akaniambia broo nataka kuslim basi chap tu tukamslimisha.Nikachukua jukum lakumfunza niyajuayo na yale ya msingi hasa kuusu swala na hadi sasa swala tano zimemkaa na naona kama anafuga ndevu yani nae kawazidi hao waliozaliwa kwenye uislamu.

Kijana mwingine wa kazi..Huyu niwazamani kabla ya huyo wa hapo juu huyu hajaslimu ila alionyesha kuupenda uislamu ila kama angenitamkia anataka kuwa muislamu nahisi nae angekuwa ila aliishia kuupenda tu.
Jamani Nawashauri waislamu kujipamba na tabia njema kwani izo ndizo humvutia asiyekuwa muislamu kujiunga na uislamu.Ijapo wengine hujisomea nakuujua wengine ndoa nk ila nahisi na kuamini ili la tabia huwahamasisha zaidi.
 
Mashallah
 
Uislamu huwa unaenezwa kwa propaganda sana angalia kisa cha kutunga ulichokitoa hapa
sasa niongope ili nisaidike nini kama upo morogoro njoo nikukutanishe nao.Binti aliyeslim alikuwa anaitwa Winfrida now anaitwa Salha,Kijana aliyesilimu alikuwa anaitwa Allen now anaitwa Abdulkareem huo ndio ukweli wala sikulazimishi kusadiki haya.
 
Yesu ndiye Kristo, ndio maana sisi tunaomfuata tunaitwa wakristo, yaaani watu wa Kristo. na hiyo sio dini, ni maisha halisi. ukija kwa mlengo wa dini umepotea, na dini haimfikishi mtu popote.
Yesu dini yake ni ipi? Maana nae pia alikuwa anafanya Ibada
 
sasa niongope ili nisaidike nini kama upo morogoro njoo nikukutanishe nao.Binti aliyeslim alikuwa anaitwa Winfrida now anaitwa Salha,Kijana aliyesilimu alikuwa anaitwa Allen now anaitwa Abdulkareem huo ndio ukweli wala sikulazimishi kusadiki haya.
Kwanini waache majina yao waitwe ya kiarabu?
 
Kwanini waache majina yao waitwe ya kiarabu?
hakuna jila la kiarabu bali kuna majina ya kiislamu....jina ni jina ila mtume amefundisha watu kuitwa kwa majina wayapendayo kwa kuzingatia sheria za majina ikiwemo jina lisiwe jina la mwenyezi mungu (yapo 99) unaweja kuyatumia kwa kulinza na neno mja mfano mja wa mkarimu (abdulkareem)...kuna majina hupendeza muislamu akiitwa kwayo.Sio lazima aliyeingia kwenye uislamu kubadili jini bali hupendekezwa ili kuendana na majina mazuri yanye kujinasibu na uislamu (utambulisho).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…