Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Yesu ndiye Kristo, ndio maana sisi tunaomfuata tunaitwa wakristo, yaaani watu wa Kristo. na hiyo sio dini, ni maisha halisi. ukija kwa mlengo wa dini umepotea, na dini haimfikishi mtu popote.Hivi kumbe Yesu Imani yake ni ukristo nilikuwa sijui
Sijui, ndiyo maana nikauliza.Kuslimu mpaka visa vingapi?
Wapo.na kuhusumabikra 70 peponi?
Welcome home, to where you very belong. Hii imenikumbusha nyimbo moja ya zamani sana ya Osibisa:True story: Tea time,
Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo.
Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una waislam tupu. nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa jirani na msikiti, Kila siku pale msikitini walikuwa wanaimba aya za Quran Usiku kucha. Sijui kwanini lakini Ile sauti ilikuwa ni nzuri sana masikioni na ilinifanya nikawa najisikia amani sana nilalapo.
Mwaka huu mwezi fulan nikiwa nimelala, nikaota ndoto ya ajabu iliyonifaonya nisilimu wiki hiyo.
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi:
Niliota Mimi na kaka yangu wa Arusha tukitembea maeneo ya mtaani kwetu hapo Tanga. Tukakutana na kundi kubwa la watu wa Kila aina matajiri kwa masikini wakiingia katika ule msikiti jirani.
Pamoja na tofauti zao za kiuchumi lakini wote waliingia ndani katika ule msikiti na kuwa kama kitu kimoja. Hakukuwa na madaraja mule ndani, hakukuwa na mabenchi ila wote waliingia kama watoto wadogo wakijisalimisha kwa Muumba wao. Ni kama vile pesa,vyeo,umaarufu waliviacha nje ya msikiti.
Nikapita jirani nikasikia ndani Quran inasomwa na wote wakistaajabu maajabu ya hiki kitabu kilichoandikwa Karne nyingi zilizopita.
Nikapita kwa pembeni nikielekea zangu nyumbani, ila kwa nje nkakutana na mtu akawa ananialika tuingie kuswali, nikakataa kwa visingizio vingi kama vile Nawahi sehemu,sijui kuswali,siku nyingine nk. Nk.
Lakini yule mtu akanisisitiza na kuniambia kuwa nikiingia Mungu atanitoa gizani na kuniweka kwenye njia ya haki.
Mi nkaondoka lakini nkamuacha kaka angu akiongea na yule mtu. Ndoto ikaishia hapo.
Kaka angu niliokuwa sijawasiliana naye takriban wiki 3 na sikumwambia kuhusu hiyo ndoto,lakini wiki hiyo hiyo nilisikia kuwa kaka angu wa Arusha amesilimu.
Kiukweli nilistaajabu sana na kujiuliza ni nini hiki na maana yake nini?
Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).
Katika kumtafuta yule mtu Kuna shehe nilimsimulia, akaamua kuchukua jukumu la kunifunza na kunielezea maajabu ya Quran na kiukweli Ile ndoto + maajabu ya Quran ilinifanya nikasilimu.
Bado naendelea kujifunza mengi mapya katika hii Imani ya kweli na haki.
Allahu akbar.
PS: yule mtu Bado sijampata
PS #2: Braza wa Arusha anajua namimi nimesilimu lakini sijamuhadithia kuhusu Ile ndoto.
Uislam ndiyo nyumbani, kwengine kote wewe ni mgeni tu.Sio kila ndoto ni ya Mungu, zingine ni ndoto za shetani...
Sio kila ndoto ni kweli, zingine zinapotosha
Utajuaje kua hii ndoto ni ya kweli na hii sio ya kweli?Sio kila ndoto ni ya Mungu, zingine ni ndoto za shetani...
Sio kila ndoto ni kweli, zingine zinapotosha
Shetani yupi alisilimishwa kua muislamu? alisilimishwa na mtume gani?Sipendagi maubishi ya kidini, lakini toka nimegundua kuwa shetani alisilimishwa na mtume na shetani akawa muislam, mashaka kwenye imani hii ni mengi kuliko matumaini. Pole dada.
Eti kwamba "nasadiki kwa kanisa moja, takatifu katoliki la mitume, naungama ubatizo mmoja"........nikifikaga hapo ndo nasema sina maamuzi tofautiBado hujanishawishi aisee!! Mimi
na Kanisa langu la Roman Catholic Church aka Kanisa la Kitume! Kanisa la Kisinodi! ni mpaka ukamilisho wa Dahari.
Hiyo Yohana imeandikwa miaka mingi baada ya Nabii Issa na imeandikwa chini ya mikono ya wahuni tu.kwetu sisi tunaoamini Kristo Yesu, (najua wewe haukuwa mkristo, ni dini ile ila umeleta tu mada ili kujaribu kuvuta watu waingie kwenye dini yako, ndio maana haujui maandiko, mkristo yeyote anajua ni kwanini Yesu anaitwa Mungu, ), chukua tu mfano,
Yohana 1:1 inasema, Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu, huyo mwanzo alikuwa kwa Mungu, vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.
ndani yake ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu, nayo nuru yang'aa gizani wala giza halikuiweza. palitokea mtu ametumwa kutoka kwa Mungu, Jina lake Yohana, huyo alikuja kwa ushuhuda ili aishuhudie ile nuru wote wapate kuamini kwa yeye. huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru. kulikuwa na nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika umwengu. alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua. alikuja kwake wala walio wake hawakumtambua. bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake.waliozaliwa si kwa damu wala si kwa mapenzi ay mwili wala si kwa mapenzi ay mtu bali kwa Mungu. naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli. ...kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa , neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.
yapo mengi yameandikwa pale, nenda kasome. ili ukawafundishe na wenzako huko.
Faiza my sister, hapo ulipo upo gizani, upo mikononi mwa shetani, hata wewe mwenyewe unajua. imani unayoifuata sio sahihi na haitakufikisha kwenye uzima wa milele. hilo pia unalijua. chukua hatua mapema, Mpokee Yesu Kristo, uwe Mkristo, ili uiponye nafsi yako. Mungu akusaidie.Ameuuwa ukafiri kutoka kwenye nafsi yake. Wewe unangoja nini, kutoka kizani kuingia kwenye nuru?
Nenda kwanza ukajifunze maana halisi ya haya maneno yafuatayo; Christ, Christian, na Christianity! Ndipo uje ujishangae.Hivi kumbe Yesu Imani yake ni ukristo nilikuwa sijui
Nafkiri hawatengwi kwa sababu hawajulikani. Wanafanya kwa siri, ila ukijulikana ni kimbembe! Ngoma nagwa! Ngoma tokomile! 😀🤬Tatizo lenu kubwa nyinyi ndugu zetu katika imaan, ni shule tu na unafiki. Maana hata kwenye jamii yenu ya waislam, hao mashoga wamejaa! Na hatujawahi kuwaona mkiwatenga. Sasa sijajua kosa liko wapi hapo.
Nabii Isa sio Yesu Kristo, yule nabii Isa aliyeandikwa kwenye kitabu chenu sio huyu Yesu tunayemsema sisi. ndio maana hata leo, tukikutana na wewe nikasema "Kwa jina la nabii isa mapepo toka, hayatoki, ila nikitaja Jina la Yesu Kristo tu, mapepo na majini yako yote yatatimua mbio. mwandishi wenu alikuja kubadilisha kila kilicho kweli kuwa uongo.Hiyo Yohana imeandikwa miaka mingi baada ya Nabii Issa na imeandikwa chini ya mikono ya wahuni tu.
Ukisoma Quran utagundua manabii wote kuanzia Adam,Ibrahim,Mussa, Suleiman,Yakub,Issa na wengine wote walikuwa waislam.uislam ulikuja baada ya miaka mingi ya Yesu, sasa alikuwaje muislam? fafanua. wakati Yesu yupo duniani kimwili, uislam ulikuwa haujazaliwa na mohamed alikuwa hajazaliwa. imani iliyokuwepo ilikuwa ya kiyahudi, although masalia yaliyokuja kuzaa uislam kiukweli yalikuwepo middle east, imani za Baal mungu asiye na nguvu mbele ya Mungu wa Israel, huyu ndiye wayahudi walipambana naye sana tangu enzi. imani hii iliaminiwa sana na watu wa Gaza (ya sasa), wakaanani na wengine wa middle east. baadaye ndio ilikuja kuzaa uislam, na ni imani potofu ya mashetani.
Nionavyo amefanya jambo la maana sana, wewe 8nangoja nini? Huwa nawashauri wasio Waislam japo kutembelea msikitini, waingie wamsujudie Muumba wao pekee. Waione raha yake, si ya kuhadithiwa, haina mithili yake.Endelea au ndio umemaliza?
sawa mkuu.Shetani yupi alisilimishwa kua muislamu? alisilimishwa na mtume gani?
Muislamu kabla ya kusali hujikinga na shetani halafu wewe unasema shetani alisilimishwa!
Mkikaa huko kwenye vijiwe vyenu mnajazana ujinga na wewe unabeba tu!