Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...!. Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).
Nakushauri soma biblia hapo kitabu Cha yohana mtakatifu chote .utaona uungu wa Yesu...QURAN 5: 116-117
116. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa mwana wa Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu wawili badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Wewe umetakasika! Haiwezekani mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi Yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.
117. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.
Nakushauri ndugu yangu uchukue japo muda kidogo uisome QURAN kabla hujaondoka hapa duniani kwani there will never be a second chance, JESUS WAS NEVER EQUAL TO ALMIGHY GOD! HE WAS A PROPHET JUST LIKE MUHAMMAD AND ABRAHAM AND MOSES AND ALL OTHER PROPHETS
Hapana, jibu lako linahitaji uzi mwingine zaidi ili uelimike kuhusu siri ya ukuu wa jina la Yesu kimamlaka.Kwahyo huyo Yesu ana mamlaka makubwa kuliko Mungu?
Kwanini haufutiki?Ushagongwa muhuri wa ukristu huo muhuri haufutiki hata ufanye nini
Haufutiki wewe elewa hivyo tu haufutiki kamweKwanini haufutiki?
Dhehebu lolote au dhehebu fulani la Wakristo?Haufutiki wewe elewa hivyo tu haufutiki kamwe
Ushawahi kua mkristu?Dhehebu lolote au dhehebu fulani la Wakristo?
Mimi ni Mkristo.Ushawahi kua mkristu?
sasa cha ajabu nini kwa koran kutoungua moto? wakati imetengenezwa kiwandani tu kama vitabu vingine, au hata tungesema kuran ina nguvu nyingine ya ziada kwani hiyo inamaanisha ina nguvu ya Mungu? hata shetani ana nguvu, mbona hiyo ni sababu ndogo sana kukufanya upotelee kwenye imani potofu? kwani majini hayawezi kulinda kitabu chochote kile? kuna jirani yangu ni shehe, nakumbuka tangu tukiwwa watoto, yeye nyumba yake ikifika majira fulani lazima iungue moto. kama yanaweza kuanzisha moto, yatashindwaje kuzuia moto usichome kitabu? unajua ninyi mnavyoongea msiongee kana kwamba sisi hatuishi pamoja na ninyi na tunaijua imani na matendo ya dini yenu, tunawajua na tunaijua imani hiyo sana, na tunawaombea kwa Mungu awasaidie mfunguke macho.Kuna jamaa yangu alisilimu baada kutokea moto nyumbani kwa kaka yake alikokuwa anaishi, ukachoma kila kitu ndani Ila tu Msaafu ukabaki kama ulivyokuwa kabla ya moto.
Mwingine naye alibatizwa hata baada ya kula vidato vingi vya dini, kwa kuota msikiti wake kuwa chanzo cha mauaji makubwa na namna ya yeye atakavyoshiriki.
Kifupi ni kwamba; TUMEWAZOEA, TUMEWACHOKA, NA HATUHANGAISHWI TENA POROJO ZENU ZA BIBLIA NA QUR'AN. NA ANGUKO LENU LIPO KARIBU, KONDOO NYIE.
Kumalamama'ako!QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
naona umeguswa kwenye mshono.Kumalamama'ako!
anamhitaji Mungu, arudi kwa Mungu wa kweli. amepotea huko.Mwanamume unajiita Queeni na picha ya Avatar ya Queeni.
Hata huko kwenye Uislamu sijui kama utafiti.
Kwenye Uislamu huo mwili ulio uweka wazi huwa unafunikwa na Ubaya.
True story: Tea time,
Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo.
Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una waislam tupu. nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa jirani na msikiti, Kila siku pale msikitini walikuwa wanaimba aya za Quran Usiku kucha. Sijui kwanini lakini Ile sauti ilikuwa ni nzuri sana masikioni na ilinifanya nikawa najisikia amani sana nilalapo.
Mwaka huu mwezi fulan nikiwa nimelala, nikaota ndoto ya ajabu iliyonifaonya nisilimu wiki hiyo.
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi:
Niliota Mimi na kaka yangu wa Arusha tukitembea maeneo ya mtaani kwetu hapo Tanga. Tukakutana na kundi kubwa la watu wa Kila aina matajiri kwa masikini wakiingia katika ule msikiti jirani.
Pamoja na tofauti zao za kiuchumi lakini wote waliingia ndani katika ule msikiti na kuwa kama kitu kimoja. Hakukuwa na madaraja mule ndani, hakukuwa na mabenchi ila wote waliingia kama watoto wadogo wakijisalimisha kwa Muumba wao. Ni kama vile pesa,vyeo,umaarufu waliviacha nje ya msikiti.
Nikapita jirani nikasikia ndani Quran inasomwa na wote wakistaajabu maajabu ya hiki kitabu kilichoandikwa Karne nyingi zilizopita.
Nikapita kwa pembeni nikielekea zangu nyumbani, ila kwa nje nkakutana na mtu akawa ananialika tuingie kuswali, nikakataa kwa visingizio vingi kama vile Nawahi sehemu,sijui kuswali,siku nyingine nk. Nk.
Lakini yule mtu akanisisitiza na kuniambia kuwa nikiingia Mungu atanitoa gizani na kuniweka kwenye njia ya haki.
Mi nkaondoka lakini nkamuacha kaka angu akiongea na yule mtu. Ndoto ikaishia hapo.
Kaka angu niliokuwa sijawasiliana naye takriban wiki 3 na sikumwambia kuhusu hiyo ndoto,lakini wiki hiyo hiyo nilisikia kuwa kaka angu wa Arusha amesilimu.
Kiukweli nilistaajabu sana na kujiuliza ni nini hiki na maana yake nini?
Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).
Katika kumtafuta yule mtu Kuna shehe nilimsimulia, akaamua kuchukua jukumu la kunifunza na kunielezea maajabu ya Quran na kiukweli Ile ndoto + maajabu ya Quran ilinifanya nikasilimu.
Bado naendelea kujifunza mengi mapya katika hii Imani ya kweli na haki.
Allahu akbar.
PS: yule mtu Bado sijampata
PS #2: Braza wa Arusha anajua namimi nimesilimu lakini sijamuhadithia kuhusu Ile ndoto.