Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Hakuna dini ya kweli na sahihi zaidi ya uislam...makafir vile chuki tu na husda zimewajaa
 
na
Nakushauri soma biblia hapo kitabu Cha yohana mtakatifu chote .utaona uungu wa Yesu...

Kumfananisha Yesu ambae ni Mungu na kina Abraham, Mohamed,sijui mitume ni kumkosea heshima...

Mda bado unao ndugu!!! jitafakari
 
Imani zetu ziko kwa dini na madhehebu zaidi kuliko kwa Mungu. Ndio maana maisha yetu bado yamejaa dhambi pamoja na dini zetu. Biblia inasema "Mkinipenda mtazishika amri zangu." Yohana 14:15
 
Kwahyo huyo Yesu ana mamlaka makubwa kuliko Mungu?
Hapana, jibu lako linahitaji uzi mwingine zaidi ili uelimike kuhusu siri ya ukuu wa jina la Yesu kimamlaka.

Mungu mwenyewe kapendezwa tu kumpatia mamlaka hayo Yesu.

Sawa na Bakhressa alivyokaimisha majukumu yake ya kibiashara kwa mwanaye wa kiume kuyasimamia na kuyaongoza haimaanishi mwanaye Bakhressa ni mkubwa zaidi kuliko Bakhressa mwenyewe.

Pia unapaswa uelewe Yesu alikuja katika mwili kuonesha njia ya uzima wa milele jinsi Binadamu tunavyopaswa kuishi kiimani na kimatendo, na alitusisitizia Binadamu kuwa tunao uwezo kuishi maisha mema kitabia na kufanya makuu kuliko yeye Yesu aliyoyafanya hapa duniani.

YESU JINA LIPITALO MAJINA YOTE KIMAMLAKA.

WAFILIPI 2:9-11.

[9]Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
[10]ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
[11]na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

YESU NDIYE NJIA YA UKWELI NA UZIMA WA MILELE.

YOHANA 14:6.

[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa yangu alisilimu baada kutokea moto nyumbani kwa kaka yake alikokuwa anaishi, ukachoma kila kitu ndani Ila tu Msaafu ukabaki kama ulivyokuwa kabla ya moto.

Mwingine naye alibatizwa hata baada ya kula vidato vingi vya dini, kwa kuota msikiti wake kuwa chanzo cha mauaji makubwa na namna ya yeye atakavyoshiriki.

Kifupi ni kwamba; TUMEWAZOEA, TUMEWACHOKA, NA HATUHANGAISHWI TENA POROJO ZENU ZA BIBLIA NA QUR'AN. NA ANGUKO LENU LIPO KARIBU, KONDOO NYIE.
 
Imeandikwa: "Siku za mwisho wengi watajitenga na Imani, wakisikiliza hadithi zidanganyazo na mafundisho ya MASHETANI."

Kila heri, umeshakabidhiwa mwislamu mwezio wa kukulinda (jini)?
 
sasa cha ajabu nini kwa koran kutoungua moto? wakati imetengenezwa kiwandani tu kama vitabu vingine, au hata tungesema kuran ina nguvu nyingine ya ziada kwani hiyo inamaanisha ina nguvu ya Mungu? hata shetani ana nguvu, mbona hiyo ni sababu ndogo sana kukufanya upotelee kwenye imani potofu? kwani majini hayawezi kulinda kitabu chochote kile? kuna jirani yangu ni shehe, nakumbuka tangu tukiwwa watoto, yeye nyumba yake ikifika majira fulani lazima iungue moto. kama yanaweza kuanzisha moto, yatashindwaje kuzuia moto usichome kitabu? unajua ninyi mnavyoongea msiongee kana kwamba sisi hatuishi pamoja na ninyi na tunaijua imani na matendo ya dini yenu, tunawajua na tunaijua imani hiyo sana, na tunawaombea kwa Mungu awasaidie mfunguke macho.
 
Kumalamama'ako!
 
Mwanamume unajiita Queeni na picha ya Avatar ya Queeni.
Hata huko kwenye Uislamu sijui kama utafiti.
Kwenye Uislamu huo mwili ulio uweka wazi huwa unafunikwa na Ubaya.
 
Mwanamume unajiita Queeni na picha ya Avatar ya Queeni.
Hata huko kwenye Uislamu sijui kama utafiti.
Kwenye Uislamu huo mwili ulio uweka wazi huwa unafunikwa na Ubaya.
anamhitaji Mungu, arudi kwa Mungu wa kweli. amepotea huko.
 

Mkuu endelea kujifunza uislam nazan mpk mda huu ujajutia uamuzi wako unaeza kua balozi mzuri wa kufundisha hawa vichwa ngumu wanaozani uislam ni vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…