Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Kwahiyo bora kuimba 'nitakutoo....' au 'amelowa' au kumba 'bia tamu'.
Mtu ameijenga na kui-maintain career tokea anetoa his first hit song, haters are just fans in disguise and you're one of them.
Mmakonde ni moja ya failures ashukuru tu kubebwa kwenye mbeleko ya Diamond wakati judges wa BSS walishamwambia ya kuwa hana talent akatafute shughuli nyingine ya kufanya, isingekuwa juhudi na maarifa ya Diamond angekuwa mtaani anatembeza karanga na korosho. Labda kile kikohozi cha ku-glamorize bangi ndiyo mambo ya msingi.
 
Kwahiyo bora kuimba 'nitakutoo....' au 'amelowa' au kumba 'bia tamu'.
Mtu ameijenga na kui-maintain career tokea anetoa his first hit song, haters are just fans in disguise and you're one of them.
Mmakonde ni moja ya failures ashukuru tu kubebwa kwenye mbeleko ya Diamond wakati judges wa BSS walishamwambia ya kuwa hana talent akatafute shughuli nyingine ya kufanya, isingekuwa juhudi na maarifa ya Diamond angekuwa mtaani anatembeza karanga na korosho. Labda kile kikohozi cha ku-glamorize bangi ndiyo mambo ya msingi.
Ona hili hyo si kawaida mpaka mambele inatokea STEVE Harvey aliambiwa na mwalimu wake hatokuja kuwa star alivyokuja kuwa star kila mwaka anamualika kwenye kipindi chake
Shakira aliondolewa kwenye kikundi cha kwaya cha kanisani kwasababu walidai hajui kuimba leo hii yuko wapi rejection and failure is a part of success mmakonde sio wa kwanza kukatiliwa wapo wengi nimekutolea mfano tu ili uamke kutokw usingizi diamond kashawafanya misekule alitolewa na ruge alimlipa nn zaidi ya matusi na kejeli

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ongea ukweli hata kama unamchukia mtu acha ujinga
Anaimba nn sema kashawafanya misekule kuna madogo hawawezi sema hawana skendo na ujinga ujinga hamuoni jay melody na platform madogo wanaimba kazi ujinga mziki wa sasa bila kiki na promotion hutoboi yule lava lava kama sio wcb tungekuwa tushamsahau ila kina jay melody na platform wanaonekana wamezidiwa kwasababu ya ujinga kama huo mnaotetea mtu anaimba chitaki chitaki halafu kenge inasema bonge la ngoma kweli uchawi upo

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Mario akiona hii comment ata shangaa
 
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Acha kuendekeza chuki kwa Mondi, huyo kashashindikana hata ukimuuliza Marioo atakwambia anatamani kuwa kama Diamond
 
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
 

Attachments

  • Screenshot_20230204-110204.jpg
    Screenshot_20230204-110204.jpg
    102.1 KB · Views: 7
Anaimba nn sema kashawafanya misekule kuna madogo hawawezi sema hawana skendo na ujinga ujinga hamuoni jay melody na platform madogo wanaimba kazi ujinga mziki wa sasa bila kiki na promotion hutoboi yule lava lava kama sio wcb tungekuwa tushamsahau ila kina jay melody na platform wanaonekana wamezidiwa kwasababu ya ujinga kama huo mnaotetea mtu anaimba chitaki chitaki halafu kenge inasema bonge la ngoma kweli uchawi upo

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Huyo dogo Marioo anampa respect yakutosha Big Diamond..
Wewe mkaanga sumu kazi yko kukaza fuvu kwa uchawi.
 
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Wewe ndio marioo
 
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
vipi mondi kakuchapia mkeo au,,mbona unaghafirika kipumbavu ivyo.
 
Ona hili hyo si kawaida mpaka mambele inatokea STEVE Harvey aliambiwa na mwalimu wake hatokuja kuwa star alivyokuja kuwa star kila mwaka anamualika kwenye kipindi chake
Shakira aliondolewa kwenye kikundi cha kwaya cha kanisani kwasababu walidai hajui kuimba leo hii yuko wapi rejection and failure is a part of success mmakonde sio wa kwanza kukatiliwa wapo wengi nimekutolea mfano tu ili uamke kutokw usingizi diamond kashawafanya misekule alitolewa na ruge alimlipa nn zaidi ya matusi na kejeli

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Diamond hakutolewa na Ruge, unaongea vitu usivyovijua. Ruge was my close friend tokea utotoni najua kwa karibu kila alichokifanya katika sanaa ya TZ na si kutegemea hearsay stories za mitaani, bora useme Papa Misifa.
Turudi kwenye mada wewe msukule wa Kimakonde, kuimba 'nakutoo...' au 'amelowa' au 'bia tamu' au ku-glamorize uvutaji wa bangi ndiyo vitu vya maana katika jamii?
 
Kwamba Yatapita na sasa hii Zuwena kaimba utumbo tu? [emoji23]

Mkuu jaribu kuficha chuki zako utaitwa mchawi.
Nilishanga video ya YATAPITA steringi anapigwa risasi damu inatapakaa bado anaendelea kuimba.
 
Back
Top Bottom