Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Yes!

No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani?

And the rest is this thread. Keep it Up
 
Yes!
No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
View attachment 3174076 Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani... !?? And the rest is this thread. Keep it Up
Hii haijaifunika Sitabaki Nilivyo.

Ova
 
Nasikia ladha ya saut sol.
Screenshot_20241211-022140.png
 
Kwanini wabongo tunaamini sana kwenye husuda. Yaani changamoto, magumu unayopitia huwa mnaamini ni watu wa pembeni wamewatendea. Mara wanakuonea wivu, wanakuroga, hawakupendi nk

Adui namba moja kwenye maisha yako siku zote ni wewe mwenyewe.
Ndio asilimia kubwa ya watu walivyo
Nikikutana na mtu yupo hivo huwa najiweka mbali mapema sana
 
Back
Top Bottom