Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

Kama ulikua humjui Joel Lwaga, wewe ni moja ya audience aliyokuwa anaitaka kupitia huo wimbo wenye mahadhi ya kisasa.

Kiuhalisia siuchukii Ila nauona kama inspirational song tu kama naringa ya Zuchu.

Maana ni wimbo unaoliwaza na kutia moyo Ila spiritually upo empty. Ukitaka kuliamini hilo tafuta signature song ya Joel "sitabaki kama nilivyo" Au hata zingine ambazo ni za modern gospel Ila bado at least zilikuwa nzuri kama " Yote mema".

siuchukii huo wimbo Ila nauona kama unamzaa commercial Joel kitu ambacho sitamani kukiona maana Joel ana kipaji kikubwa sana sanaa. Ila akianza kuiona pesa na umaarufu kuliko injili. Ni wazi litakuwa anguko lake kiroho
Comrade nilisubiri sana hii reply
 
Back
Top Bottom