Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

Hii Ngoma ya Joel Lwaga Imekua ni National Anthem. Wachawi haeakosekani hata wenye chuki pia, lakini imeenda

Kwanini wabongo tunaamini sana kwenye husuda. Yaani changamoto, magumu unayopitia huwa mnaamini ni watu wa pembeni wamewatendea. Mara wanakuonea wivu, wanakuroga, hawakupendi nk

Adui namba moja kwenye maisha yako siku zote ni wewe mwenyewe.
Mkuu wakikosolewa tu wanakimbilia ni Wivu, husda, uchawi......hao wanaowaza hivi ndio fikra zinazojaza mioyo yao.
 
Yes!

No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
View attachment 3174076 Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani?

And the rest is this thread. Keep it Up
Huyu Hata akienda Kwa Pdidy atamfukuzia mbali.


Hii ni wimbo au ni maneno tu?

Kuna kuimba na kuchonga Ngenga
 
Yes!

No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
View attachment 3174076 Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani?

And the rest is this thread. Keep it Up
Think beyond. Anamaanisha nini akisema OLODUMARE???? Wanaimba codes hao. Jaribu lu Google hilo neno. Anamuimba Mungu gani?
 

Attachments

  • Screenshot_20241211_204715_Chrome.jpg
    Screenshot_20241211_204715_Chrome.jpg
    549.9 KB · Views: 3
Ndio wimbo gani huo?. Huyo ni kama Willy Paul na Yule dogo aliyepotea mazima Good luck.
 
Like bro.. serious! U must be under something.. alcohol or the like ..
Unabisha nin sasa ukisikiliza kwa haraka unaweza fikiria ni sauti soul hata mim kwa mara ya kwanza nilifikiri ni sauti soul..
 
Back
Top Bottom