Hii haijaifunika Sitabaki Nilivyo.Yes!
No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
View attachment 3174076 Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani... !?? And the rest is this thread. Keep it Up
Like bro.. serious! U must be under something.. alcohol or the like ..Nasikia ladha ya saut sol.View attachment 3174079
Ok, ujumbe Gani umeupata hapoYes!
No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message.
Hii hapa...
View attachment 3174076 Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali nikauliza huyu nani?
And the rest is this thread. Keep it Up
You are among of genius remain 🙌🙌🙌🙌😀😀😀😀Ni huko Tiktok kwa wanawake wenzako
Anaimba ujinga mtupuKumbe siku hizi hakuna muziki bali kelele na maongezi yaliyopambwa na vyombo! Miziki yote ya kiswahili ni mapenzi au husuda.
How did you know that....are u among themHe is already a Certified Member ✡️
Ndio asilimia kubwa ya watu walivyoKwanini wabongo tunaamini sana kwenye husuda. Yaani changamoto, magumu unayopitia huwa mnaamini ni watu wa pembeni wamewatendea. Mara wanakuonea wivu, wanakuroga, hawakupendi nk
Adui namba moja kwenye maisha yako siku zote ni wewe mwenyewe.
Sahihi. Mtu wa namna hiyo akienda kwa mganda akambrainwash kidogo tu anakuondoa.Ndio asilimia kubwa ya watu walivyo
Nikikutana na mtu yupo hivo huwa najiweka mbali mapema sana
Thats too privacyHow did I you know that....are u among them