Hii ni Brazil tusiyoonyeshwa mtandaoni

Hii ni Brazil tusiyoonyeshwa mtandaoni

Nchi nyingi za Latin America wana maisha magumu kama Africa tu.
 
Nchi ziko 195 duniani, sasa ukisema iko katika 100 top richest unamaanisha ni bora? Ungesema ipo katika top 10 au 20 hapo ungekuwa sawa.
Brazil ni taifa la 9 kwa nguvu za kiuchumi ulimwenguni sasa utaitaje eti ni nchi masikini?
Uchumi wa Brazil ni mkubwa mara 2 ya uchumi wa Uturuki hiyo nchi utaitaje masikini?
 
Mkuu Brazil ina GDP ya $1.2 trion ni nchi masikini?
GDP haikuanzishwa iki iwe kipimo cha uchumi, na haipimi uchumi vizuri, watu wameitumia vibaya tu.

Msome mchumi aliyeshinda nishani ya Nobel Joseph Stiglitz kaandika kuhusu hili.



View: https://youtu.be/QUaJMNtW6GA?si=qSRNOFVMJKvav-Wq
 
Kwa koment zinazo endelea kutolewa na watu humu zinaonesha jinsi nchi hii ilivyo jaa vilaza mbaya zaidi wanajiona wana akili, yaani nchi ina GDP ya $2trion na ushenzi ambayo ni sawa na %70 ya uchumi wote wa Africa alafu anatokea mtu anasema eti ni nchi masikini?
Kama ni miundo mbinu mibovu hata Marekani kumejaa miundo mbinu mibovu na masikini , nchi tajiri za Ulaya na mashariki ya kati kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kujenga miundo mbinu mizuri kila sehemu kutokana na nchi zao kuwa ndogo kijografia.
Brazil ni kubwa kuizidi Africa mashariki yote.
 
Kwa koment zinazo endelea kutolewa na watu humu zinaonesha jinsi nchi hii ilivyo jaa vilaza mbaya zaidi wanajiona wana akili, yaani nchi ina GDP ya $2trion na ushenzi ambayo ni sawa na %70 ya uchumi wote wa Africa alafu anatokea mtu anasema eti ni nchi masikini?
Kama ni miundo mbinu mibovu hata Marekani kumejaa miundo mbinu mibovu na masikini , nchi tajiri za Ulaya na mashariki ya kati kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kujenga miundo mbinu mizuri kila sehemu kutokana na nchi zao kuwa ndogo kijografia.
Brazil ni kubwa kuizidi Africa mashariki yote.
Umeandika kitalaamu sn
 
Kwa koment zinazo endelea kutolewa na watu humu zinaonesha jinsi nchi hii ilivyo jaa vilaza mbaya zaidi wanajiona wana akili, yaani nchi ina GDP ya $2trion na ushenzi ambayo ni sawa na %70 ya uchumi wote wa Africa alafu anatokea mtu anasema eti ni nchi masikini?
Kama ni miundo mbinu mibovu hata Marekani kumejaa miundo mbinu mibovu na masikini , nchi tajiri za Ulaya na mashariki ya kati kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kujenga miundo mbinu mizuri kila sehemu kutokana na nchi zao kuwa ndogo kijografia.
Brazil ni kubwa kuizidi Africa mashariki yote.
GDP haikuelezi lolote kuhusu inequality, income distribution, geographical distribution of the population, priorities za nchi, siasa zake.

Brazil ina sehemu kubwa sana ziko kwenye mapori ya Amazon huko hakuna watu wengi, unategemea ijenge barabara zote kwa sababu ya GDP tu? Hiyo barabara unajua hata ni wapi?
 
GDP haikuanzishwa iki iwe kipimo cha uchumi, na haipimi uchumi vizuri, watu wameitumia vibaya tu.

Msome mchumi aliyeshinda nishani ya Nobel Joseph Stiglitz kaandika kuhusu hili.



View: https://youtu.be/QUaJMNtW6GA?si=qSRNOFVMJKvav-Wq

Hata kwenye sekita nyingine bado Brazil wako mbali mno kuanzia Viwanda ,kilimo, teknolojia,hata uchumi wa mtu mmoja mmoja Brazil wamepiga hatua kwa namna fulani.

Yaani nchi ina GDP per capata ya 10,234$ alafu useme eti ni masikini?
 
Back
Top Bottom