Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga sana kazi za nje bila gwanda...
Kama Ni hivyo achana nae
Kwani ukisema ni wifi nani atakupiga?? Hapo ndo utamkumbuka dronedrake na chama chake 😂😂😂
alidhani ww kilaza akakudanganya 🤣So anatumia kutibia UTI kweli?
Duuuh 🤔🤔Naombeni msikilize stor alizokua ananipa... Eti jana tulivyoachana kamkuta dem nje ya fensi la nyumba yake afu kaenda kumla na video kanionyesha. Ni sahihi azitumie duuuh.
Anayeuliza kuhusu condoms ni mimi
Nimemrekod 10mins ago
Vijana tuache umalaya.. Mwamba huyu tayari kimeumana
Daaah mwamba kumbe ndio maana ana afya sana. Japo kifeza yupo vizuri pia.Hiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)
Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.
Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.
Da'Vinci
Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii piaHiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)
Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.
Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.
Da'Vinci
Antiretroviral ndiyo hizo hutumika kama PEP na PREP.Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii pia