Hii ni dawa gani?

Hii ni dawa gani?

Naombeni msikilize stor alizokua ananipa... Eti jana tulivyoachana kamkuta dem nje ya fensi la nyumba yake afu kaenda kumla na video kanionyesha. Ni sahihi azitumie duuuh.

Anayeuliza kuhusu condoms ni mimi
Nimemrekod 10mins ago
Vijana tuache umalaya.. Mwamba huyu tayari kimeumana
Kupiga sana kazi za nje bila gwanda...

Kama Ni hivyo achana nae

Kwani ukisema ni wifi nani atakupiga?? Hapo ndo utamkumbuka dronedrake na chama chake 😂😂😂
 

Attachments

Naombeni msikilize stor alizokua ananipa... Eti jana tulivyoachana kamkuta dem nje ya fensi la nyumba yake afu kaenda kumla na video kanionyesha. Ni sahihi azitumie duuuh.

Anayeuliza kuhusu condoms ni mimi
Nimemrekod 10mins ago
Vijana tuache umalaya.. Mwamba huyu tayari kimeumana
Duuuh 🤔🤔
 
Hiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)

Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.

Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.

Da'Vinci
 
Hiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)

Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.

Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.

Da'Vinci
Daaah mwamba kumbe ndio maana ana afya sana. Japo kifeza yupo vizuri pia.
Ngoja nikae nae makini
 
Azithromycin is used to treat certain bacterial infections, such as bronchitis; pneumonia; sexually transmitted diseases (STD); and infections of the ears, lungs, sinuses, skin, throat, and reproductive organs.

Ciprofloxacin is a broad-spectrum antibiotic which means that it's used to treat a number of bacterial infections, such as: uncomplicated urinary tract infections (UTIs) where other antibiotics are not suitable and complicated Da'Vinci
 
Hiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)

Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.

Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.

Da'Vinci
Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii pia
 
Doctor muda huu baada ya kumuhoji hoji kasema kwamba yeye hua anatumia hizo dawa kila anapokutana na mwanamke. Kaniambia kazimeza jioni hii pia
Antiretroviral ndiyo hizo hutumika kama PEP na PREP.

Lakini madai yake yana ualakini kwani uhakika zaidi wa kutumia kabla (PREP) ya kufanya mapenzi, basi itumike walau kila siku, siku saba kabla ya kujamiiana.
 
Back
Top Bottom