zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ukimwi hauna dawaHiyoo ni dawa ya ukimwi au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimwi hauna dawaHiyoo ni dawa ya ukimwi au sio
Kwa hio umebaka?Huyuuu dada yeye nimemuuliza akasema ety sijuii ni dawa za mtu akibakwa anapewaa kiufupi sijamuelewa na nimesex nae kavuu mara 4
Hio Amoxicillin kabisaAcha utani kuwa seriously broo
Hapana usiwe na wasiwasi Kuna uwezekano akawa hajakuambukiza .. ikiwa dawa alikua anatumia vizuri na kwa muda mrefu bila kusuasuaDaaaah kumamake huyuu demu kAniua daaaah
Ushakula mzoga subiri kuanza kuharisha tu hapoYeye kaniambia hivii ukibakwa ndio huwa unatumia yaaan mm cjamuelewa na nimeuza mech kizembe sana
EIther ana
Wanakutisha ila hio ni Ampicillin kabisa ila kwa mbali km mbaaziDaaaaaaah ok asante sana
Calm down na Taratibu soma maelezo yangu jina la ARV lisikutishe Si kila ARV ni kwa ajili ya HIV..Kiongozi hii sio arv lakini
Amekuambia kinamna ya kukueleza hizo ni PEP ..Huyuuu dada yeye nimemuuliza akasema ety sijuii ni dawa za mtu akibakwa anapewaa kiufupi sijamuelewa na nimesex nae kavuu mara 4
Tangu lini ricovir-M ikaongeza hamu ya kula mzigo? Hiyo dawa inatumika kwenye magonjwa makubwa mawili either hepatitis B au UKIMWIViagra hiyo inaongeza nguvu za kula mizigo
Ukikumbuka ulivokua unai......Aseee nitaenda kupima kwakweli
Washauri na Saa mpeni ushauri mzuri asije akajitundika tuCalm down na Taratibu soma maelezo yangu jina la ARV lisikutishe Si kila ARV ni kwa ajili ya HIV..
Kingine soma Nimeeleza Vizuri kwa Utulivu sana
Ina maana nyingi Huenda alipata Exposure au Kuna Vitu vingi sana Siwezi kutoa Utabiri ndo maana Nikasema kaa naye chini kwa upole kabisa muulize atakuambia tuSasa kiongozi mwanamke akiwa nayoo ina maan gani
Hapoo nimeeelewa mshezi yule kudadeki zake ndio maana akakataaa kupimaAmekuambia kinamna ya kukueleza hizo ni PEP ..
Ambazo hupewa mtu ikiwa anahisi yupo katika hatari ya maambukizi . Ambayo huanza kutumia Dawa ndani ya masaa 72 tangu akutane na hiyo hali.. atatumia kwa siku 28 kisha atasubiri miezi 2 mbele ifike 3 ili apime aone kama vimemsaidia kutopana..
Dozi yake Huwa ni kidonge kimoja kila siku
Anaifyonza na kumeza hatemi