Hii ni dawa ya nini?

Hii ni dawa ya nini?

Huyuuu dada yeye nimemuuliza akasema ety sijuii ni dawa za mtu akibakwa anapewaa kiufupi sijamuelewa na nimesex nae kavuu mara 4
Amekuambia kinamna ya kukueleza hizo ni PEP ..

Ambazo hupewa mtu ikiwa anahisi yupo katika hatari ya maambukizi . Ambayo huanza kutumia Dawa ndani ya masaa 72 tangu akutane na hiyo hali.. atatumia kwa siku 28 kisha atasubiri miezi 2 mbele ifike 3 ili apime aone kama vimemsaidia kutopana..

Dozi yake Huwa ni kidonge kimoja kila siku
 
Aseee nitaenda kupima kwakweli
Ukikumbuka ulivokua unai......
images.jpeg


Mwili wote unatetemeka yani, pole bro
 
Sasa kiongozi mwanamke akiwa nayoo ina maan gani
Ina maana nyingi Huenda alipata Exposure au Kuna Vitu vingi sana Siwezi kutoa Utabiri ndo maana Nikasema kaa naye chini kwa upole kabisa muulize atakuambia tu
 
Amekuambia kinamna ya kukueleza hizo ni PEP ..

Ambazo hupewa mtu ikiwa anahisi yupo katika hatari ya maambukizi . Ambayo huanza kutumia Dawa ndani ya masaa 72 tangu akutane na hiyo hali.. atatumia kwa siku 28 kisha atasubiri miezi 2 mbele ifike 3 ili apime aone kama vimemsaidia kutopana..

Dozi yake Huwa ni kidonge kimoja kila siku
Hapoo nimeeelewa mshezi yule kudadeki zake ndio maana akakataaa kupima
 
Back
Top Bottom