Hii ni dhahiri kuwa viongozi na wanachama wa CHADEMA hawana busara, huwezi kumuombea kifo mwenzako

Hii ni dhahiri kuwa viongozi na wanachama wa CHADEMA hawana busara, huwezi kumuombea kifo mwenzako

Kumbe Mashekhe, wachungaji na mapadre wanapokuwa wanatuhimiza kutengeneza mambo yetu na Mungu (kutubu na kaucha dhambi), huwa wanatuombea kifo?
We pimbi unajua kusoma?
 
Hawa si ndo waliingizwa chaka na Lowasa kuwa atashinda uraisi na kuwa raisi wa Tanzania? Au kipindi kile alikuwa bado hajakabidhiwa mikoba ya uganga?
 
Chadema ni watu na viongozi wao ni akina Lema.
Kwani maneno ya Lema ni msimamo wa chama?

Nataka kukuweka sawa ili ujue kutofautisha kati ya personal opinion na chama. Unachofanya wewe ni sawa na kusema kwamba, kama Sabaya ni CCM amehukumiwa kwa kesi ya unyanganyi, basi CCM wote ni wanyanganyi..

Sijui kama unanielewa lakini mkuu?

Mi naona hapa hoja imuhusu Lema tu na maoni yake, na sio kusema ni CHADEMA
 
Wewe masikini huwezi kupambana na Chadema ukabaki salama , utakwisha haraka sana .

Endelea kuifuata fuata Chadema , Mkono wa Mungu utakutandika , muangalie jiwe , bashiru , Polepole na Ndugai .

Hakuna aliyewahi kupambana na chama cha Mungu Chadema akashinda .

Elfu 7 unazolipwa zitakuponza
 
Lema ni Mchaga mwenzangu ila kuna mambo huwa simkubali huyu mtu..

Mambo ya kumtabiria mwenzako kifo sijapenda.

Ila na wewe mtoa mada, jifunze kutofautisha msimamo wa Lema na msimamo wa chama chake. Hapo na wewe umekosea.. usiipake Chadema matope kwa maneno ya mtu mmoja.
Dawa ya moto ni moto namuunga sana mkono mh Lema
 
Hii tabia ya ku-twist mambo na kuyaweka mnavyotaka imekomaa mno! Mlianza kuwatuhumu wapinzani kuwa wanatukana tu hawana hoja wakati ccm na watu wake hawajawahi kuwa na hoja yoyote ya maana zaidi ya matusi!
Hivi hapo kuna maonyo na maelekezo au kuna maombi?!
 
Kama kwenye kazi yake ya wizi wa magari hakufa, anamuombea nani kifo
Kuna wengine mlikuwa mnaona kama malaika wenu hapa duniani lkn leo hii wapo chini ya futi 6.

Lema bado yupo anakula upepo wa hapa duniani kwa raha zake na atazidi kuwakeraaaa
 
Hii tabia ya ku-twist mambo na kuyaweka mnavyotaka imekomaa mno! Mlianza kuwatuhumu wapinzani kuwa wanatukana tu hawana hoja wakati ccm na watu wake hawajawahi kuwa na hoja yoyote ya maana zaidi ya matusi!
Hivi hapo kuna maonyo na maelekezo au kuna maombi?!
Wameanza kulialia hovyo wakati wenyewe ndiyo wachawi wenyewe
 
Hayo sio maombi,Huo ni unabii,Ni jambo ambalo lipo mbele yake,lazima litokee na kama hatamtafuta Lema kujua Mungu ana ujumbe gani basi ajiandae

Hata Sabaya aliambiwa akadhani utani ,Mwendazake ndio aliambiwa mapema zaidi akashupaza shingo na kuamuru afungwe,yakamkuta yakumkuta

nyie watu ni wajinga kupita kiasi.[emoji23][emoji23]

kwamba amfate lema!!akifa lema kabla ya ndugai???
 
Back
Top Bottom