Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
WeeeeNikoje Darling, usinifanyie Hivi [emoji3][emoji3]
Mwanaume anaepiga mara 2,3 anakinai anaamsha kutafuta mwingine[emoji848]
Yesuu niepushe[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeeeeNikoje Darling, usinifanyie Hivi [emoji3][emoji3]
Kwako Nitakaa Mamiroo [emoji52][emoji52][emoji52][emoji485][emoji485]Weeee
Mwanaume anaepiga mara 2,3 anakinai anaamsha kutafuta mwingine[emoji848]
Yesuu niepushe[emoji3]
Wahenga hatari sana, 10 years ya ndoa dah mmeshapitia ups and downs za kutosha sema punguza speed mkeo haki yake umpatie, ikiwezekana mpigishe mazoezi akakate mafuta ili awe kimodo kama wengine ujishindie, cha nje uwe nae mmoja tu kwa usalama mzee maradhi ni mengi sahiviNiko kwenye ndoa for 10yrs Mzee Wangu [emoji3][emoji3]halafu Nimeona waifu kwanza kunenepa nimemwambia Huko unakoelekea siko kacheka Tu.
.
Mke Wa Home unapiga Bao 2 za Hekaheka Ila Demu Mpya unapiga Hata Bao 3-6 then unapiga na morning glory Moko Maisha yanaenda.
.
Sitaki kuwa na Demu Kwa Mda Mrefu, napiga mara3 then nahepa, maana nikimzoea Tu Hamu inaisha Na Nakuwa Sina mzuka nae Tena
Mzee kwani unaogopa maradhi? Au Hii Dunia umekuja Kuishi Milele Wa Kwetu? [emoji3][emoji3].Wahenga hatari sana, 10 years ya ndoa dah mmeshapitia ups and downs za kutosha sema punguza speed mkeo haki yake umpatie, ikiwezekana mpigishe mazoezi akakate mafuta ili awe kimodo kama wengine ujishindie, cha nje uwe nae mmoja tu kwa usalama mzee maradhi ni mengi sahivi
Kweli kabisaWahenga hatari sana, 10 years ya ndoa dah mmeshapitia ups and downs za kutosha sema punguza speed mkeo haki yake umpatie, ikiwezekana mpigishe mazoezi akakate mafuta ili awe kimodo kama wengine ujishindie, cha nje uwe nae mmoja tu kwa usalama mzee maradhi ni mengi sahivi
Bora ufe kama nzi, ufie kwenye kidonda hizi kauli za wahuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee kwani unaogopa maradhi? Au Hii Dunia umekuja Kuishi Milele Wa Kwetu? [emoji3][emoji3].
.
Atapiga Mazoezi Ila Ujinga wa Kunambia sjui aende gym sitaki kusikia ***** [emoji21][emoji21]
[emoji125][emoji125][emoji125]mi bongeee sanaaKwako Nitakaa Mamiroo [emoji52][emoji52][emoji52][emoji485][emoji485]
Size yako tafadhali 😊Naendelea kusoma comments
Wewe unaewaza kwenda Jupiter mmefikia hatua gani na wanasayansi wenzako!unajibu kwa kejeli kweli utafkir wanawake wote wako yan we kazana kuwaz hayo wkt akna elon musk wanawaza kwenda mars kweli bongo wajinga wengi
Wanatuonea hawa
Amen kubwa[emoji848]duh
Mungu niepushe na mwanaume wa aina hii
Wachaaa wee so ni stress free zone [emoji12][emoji12]Mie sina kiburi..mwanaume akiwa kwene mapenzi na mimi stress atazileta yeye sio mimi[emoji12]
Jamaa anazingua sanaWewe unaewaza kwenda Jupiter mmefikia hatua gani na wanasayansi wenzako!
Ukinipenda na kunijali natulia sina purukushan mieWachaaa wee so ni stress free zone [emoji12][emoji12]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Mhmhh, mimi napenda stress zinanipa wakati mgumu ila zinanijenga na penzi linachanua zaidi, unipe stress na akili inakeUkinipenda na kunijali natulia sina purukushan mie
TushakusameheI just love thick and chubby girls
Please vimbambau mnisamehe i don't feel u .
Unajua hakuna mahusiano yasiyo na mabalaa sasa itategemea mabalaa yapi[emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Mhmhh, mimi napenda stress zinanipa wakati mgumu ila zinanijenga na penzi linachanua zaidi, unipe stress na akili inake