Hii ni Experience yangu niliyoipata kwa Mwanamke Mwembamba

Hii ni Experience yangu niliyoipata kwa Mwanamke Mwembamba

No zipo sana binafsi napenda nilvyo na pia mamodel nawapenda sana,my man used to say i'm so sweet!
We wa wapi?ni aina ya maneno ambayo ni ya kishamba sana. Wanaume kusema hayo kwa mwanamke ni kawaida.wala si jambo la kutangaza. Ndo maana nikasema una swaga za kishamba na kizamani. Mjini watakula wengi sana kama una weka hivyo vitu akilini. Hata huyu dada nlimwambia she was so sweet. And i enjoyed the sex.anaweza enda simulia wenzie kama wewe....but in real sense....😁😁😁
 
Wewe unayemuwaza Musk huko Mars umeenda?

Yaani watu wasichangamshe jukwaa na kubadilishana mawazo kuhusu maisha ya kila siku kisa kwenda Mars?

Punguza kusikiliza motivational speakers!
Afadhali umekaambia ukweli haka kajamaa..... Kapuuzi kweli kanadhani ndo kanaonesha kana akili kumbe kanaonesha kakilaza squared.
 
Kwa hiyo ulishindwa kujizuia kufanya hicho kitendo?

Huoni kuwa huyo anaweza kuwa Ndiyo tabia yake na ulipaswa kujiuliza kuwa kwa wepesi huo hua amewapa wanaume wangapi?

Hujihurumii afya yako?

Huoni umeji-risk sana ?
 
Imeandikwa;

“Pasipo maono watu huacha kujizuia”

Ni hatari kubwa sana kufika hatua ya mtu kushindwa kujizuia kiasi hicho .

Yani huoni kinyaaa?

Tafakari.
 
Tambua kuwa maisha yako yanathamani kubwa sana.

Mwenyezi Mungu anatupatia uhai lakini kuna sehemu yetu ya kufanya katika kuutunza uhai huo.

Ni kawaida kabisa to a honest person to say “no” when the need arises.

Ulipaswa kuonesha msimamo Kwa kukataa ,

Ulipaswa kumwambia kuwa umechoka, au Kuna mahala unawahi n.k.

Hata akikutoa maana kwa kukutukana ingekuwa sawa tu maana unapigania maisha yako yabaki salama.
 
Kwanza mlikuwa hamjapanga na kukubaliana kukutana for sexing,

Kwa hiyo ulikuwa na kila sababu ya kukataa.
 
Mojawapo ya kanuni ya mapenzi ni pamoja na ile wanasema;

“ seek for his approval “


Ona sasa hata hujafurahia sababu hai kutokana na ridhaa yako sababu umekuwa forced , lakini ulipaswa kukataa!

Hivi ni udhaifu mkubwa kiasi gani kushindwa kukataa na kukubali ku-take risk kiasi hicho jamani?!
 
Hiyo haihusiani na maumbile
Ni tabia ya mtu tu
Kwanini isihusiane mfano chukulia watu wafupi unajua asili yao wao ni wabishi tu kuna dhana fulani inakuwepo kutokana na aina fulani ya kundi
 
Mkuu. Mimi na hivyo vitu mbalimbali... Labda Guitar ndo huwa napenda ingawa sijui kupiga ila naweza jifunza. Kwa ngoma aiseee sijawahi kabisa kupiga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unayemuwaza Musk huko Mars umeenda?

Yaani watu wasichangamshe jukwaa na kubadilishana mawazo kuhusu maisha ya kila siku kisa kwenda Mars?

Punguza kusikiliza motivational speakers!
Ndo nipo kwenye kikos cha space x ili niende huko!
 
Mojawapo ya kanuni ya mapenzi ni pamoja na ile wanasema;

“ seek for his approval “


Ona sasa hata hujafurahia sababu hai kutokana na ridhaa yako sababu umekuwa forced , lakini ulipaswa kukataa!

Hivi ni udhaifu mkubwa kiasi gani kushindwa kukataa na kukubali ku-take risk kiasi hicho jamani?!
Mkuu unaweka usiliasi sehemu ambapo hauhitajiki.
 
Back
Top Bottom