secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
😅Kwa nini mkuuHayo walokole matako yao
Kama huamini njoo piema nikupe location ya hiyo kanisa ujionee vile ambavyo shetani hutukanwa mpaka anakosa pozi.kwa mwenye akili timamu atajua tu unaongopa
Dah umeuaHayo walokole matako yao
Kama ni kweli basi hao waumini na kiongozi wao wanahitaji counselling. Something must be wrong with themKama huamini njoo piema nikupe location ya hiyo kanisa ujionee vile ambavyo shetani hutukanwa mpaka anakosa pozi.
Kumbuka shetani ni adui yetu.Kama wanatukana basi hawana tofauti na huyo shetani.
Huyo mama yake na shetani wanaemtaja ni nani?Kumbuka shetani ni adui yetu.
Hapo sinanjibu mkuuHuyo mama yake na shetani wanaemtaja ni nani?
Duh...Kwa hayo matusi ningecheka sana
AiseeHapo sinanjibu mkuu
Jameni dunia inaelekea kusikojulikanaAisee
Kama nisingekuona kwenye huu uzi wala usingekuwa na maana yoyote. Ingekuwa takataka tu
Siku mkukutana na makanisa kama haya mtanikumbukaHiyo ni chai mkuu, japo walokole wanamatatizo mengi ila hili umesingizia.View attachment 3204237