Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Yule msanii sheta yupo.Ila sheta yupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule msanii sheta yupo.Ila sheta yupo.
Mkuu kwa nini unaktaaa uwepo wa manaani na sheitwani.Yule msanii sheta yupo.
Bila sauti huu sio uziJe ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?
Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".
Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.
Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Ni kanisa Gani Hilo?Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?
Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".
Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.
Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Ila nawe mshambani sanaaaakwa mwenye akili timamu atajua tu unaongopa
Hivi matusi ni nini ? Sababu hapo ni maneno yanayoelezea uhalisia wa mtu na hayo mengine ni viungo tu.., labda ungeuliza kama Shetani ametengenezwa na Mungu kwahio kumtukana Mama wa Shetani arguably unaweza kusema unamtukana Mungu...Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?
Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".
Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.
Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Nitafanya hivyoHivi matusi ni nini ? Sababu hapo ni maneno yanayoelezea uhalisia wa mtu na hayo mengine ni viungo tu.., labda ungeuliza kama Shetani ametengenezwa na Mungu kwahio kumtukana Mama wa Shetani arguably unaweza kusema unamtukana Mungu...
Anyway majibu yako sababu ni ya kiimani basi jaribu kutafuta jibu kwenye Biblia; Ila sisi wa kitaa matusi ya aina yoyote ni anti social behaviour na kero kwa wengine hivyo hao wapuuzi fikisha malalamiko kwenye vyombo vya sheria.
Wanadhani kuwa wakimtukana shetani Mungu ataona wako upande wake kwa kuamini kuwa mungu anahitaji Msaada wao ili kumshinda shetani. Wameshasahau kuwa Mungu amemweka shatani ili kutesti imani yao.Maombi yetu yote yanapitia katika jina la yesu, sasa yatapataje baraka yakiwa yamejaa matusi!
La kilokoleNi kanisa Gani Hilo?
Hakuna anayeweza kufanya hayo!
Naziheshimu mbavu za watu ndiyo maana sijaweka sauti.Bila sauti huu sio uzi
Tuliza Donati mkuu. Au ndio Choco unatafuta ChanelIla nawe mshambani sanaaaa
KWANI lazima uandike
Hafu baada unajirudi.. Kigeugeu
😅😅😅
Kaka kwani wewe ni mfuasi wa huyo mwamba wanaemtukana ,sema ndiyo tuwe Wana wa damu na kudumuHayo walokole matako yao
DuhKaka kwani wewe ni mfuasi wa huyo mwamba wanaemtukana ,sema ndiyo tuwe Wana wa damu na kudumu
Ukitaka kumtukana shetani mrushie haya:Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?
Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".
Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.
Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Kweli kabisa mkuu, mpaka sasa nashindwa kuelewa ni kwa nini wale jamaa waliporomosha matusi kiasi kile.Ukitaka kumtukana shetani mrushie haya:
Kwa Jina la Yesu shindwa....,
Toka kwa Jina la Yesu...,
Damu ya Yesu...,
Yesu alikufanya nini pale Kalvari, toka...,!
Ni watu wa shetani wanaelewana kwa lugha zao.Kweli kabisa mkuu, mpaka sasa nashindwa kuelewa ni kwa nini wale jamaa waliporomosha matusi kiasi kile.
Kabisa mkuuNi watu wa shetani wanaelewana kwa lugha zao.