Hii ni kwa wanaompenda na kumcha Mungu tu

Hii ni kwa wanaompenda na kumcha Mungu tu

Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?

Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".

Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.


Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Bila sauti huu sio uzi
 
Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?

Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".

Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.


Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Ni kanisa Gani Hilo?

Hakuna anayeweza kufanya hayo!
 
Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?

Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".

Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.


Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Hivi matusi ni nini ? Sababu hapo ni maneno yanayoelezea uhalisia wa mtu na hayo mengine ni viungo tu.., labda ungeuliza kama Shetani ametengenezwa na Mungu kwahio kumtukana Mama wa Shetani arguably unaweza kusema unamtukana Mungu...

Anyway majibu yako sababu ni ya kiimani basi jaribu kutafuta jibu kwenye Biblia; Ila sisi wa kitaa matusi ya aina yoyote ni anti social behaviour na kero kwa wengine hivyo hao wapuuzi fikisha malalamiko kwenye vyombo vya sheria.
 
Hivi matusi ni nini ? Sababu hapo ni maneno yanayoelezea uhalisia wa mtu na hayo mengine ni viungo tu.., labda ungeuliza kama Shetani ametengenezwa na Mungu kwahio kumtukana Mama wa Shetani arguably unaweza kusema unamtukana Mungu...

Anyway majibu yako sababu ni ya kiimani basi jaribu kutafuta jibu kwenye Biblia; Ila sisi wa kitaa matusi ya aina yoyote ni anti social behaviour na kero kwa wengine hivyo hao wapuuzi fikisha malalamiko kwenye vyombo vya sheria.
Nitafanya hivyo
 
Maombi yetu yote yanapitia katika jina la yesu, sasa yatapataje baraka yakiwa yamejaa matusi!
Wanadhani kuwa wakimtukana shetani Mungu ataona wako upande wake kwa kuamini kuwa mungu anahitaji Msaada wao ili kumshinda shetani. Wameshasahau kuwa Mungu amemweka shatani ili kutesti imani yao.
 
Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito?

Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana husimamishi, ma**ko yako.......".

Hivi kweli mungu anaturuhusu kumtukana shetani kikama walivyofanya hawa walokole.
Tukumbuke tu ya kwamba hata shetani ni kumbe wa mungu.


Sijui lakini labda kweli tunaruhusiwa.....
Ukitaka kumtukana shetani mrushie haya:
Kwa Jina la Yesu shindwa....,
Toka kwa Jina la Yesu...,
Damu ya Yesu...,
Yesu alikufanya nini pale Kalvari, toka...,!
 
Ukitaka kumtukana shetani mrushie haya:
Kwa Jina la Yesu shindwa....,
Toka kwa Jina la Yesu...,
Damu ya Yesu...,
Yesu alikufanya nini pale Kalvari, toka...,!
Kweli kabisa mkuu, mpaka sasa nashindwa kuelewa ni kwa nini wale jamaa waliporomosha matusi kiasi kile.
 
Back
Top Bottom