Chai yako inakosa vitumbua bwashee.Siku mkukutana na makanisa kama haya mtanikumbuka
Sijui, labda walimkemea aliposhindwa kumtoka mtu wakaanza kumporomoshea matusi, ilikusudi aone aibu na kutokomea.Lengo la kumtukana linakuwa nin?
Ila kuishi kwenye mwili wa binadamu amewahijina la yesu lina nguvu kuliko hayo matusi, kutukana hayo matusi ni kazi bure tu
halafu shetani ni roho, ni inhuman spirit, hajawahi kuishi katika mwili wa binadamu,
kwahiyo matusi hayamdhalilishi;
unamuambia ***mako kwani ana mama?
unamuambia m***ko kwani anayo?
unamuita malaya kwani ana kifanyio?
hajawahi, yupo kifungoni mwenzakoIla kuishi kwenye mwili wa binadamu amewahi
Hii wala siyo chaiChai yako inakosa vitumbua bwashee.
Mtu anapitia msoto wa hali ya juu halafu akifiria pasta anamwambia ni kazi ya shetani lazima awe na jazba , mimi niliona ya kumkanyaga shetani kwa kishindo mpaka ardhi inameguka udogo.jina la yesu lina nguvu kuliko hayo matusi, kutukana hayo matusi ni kazi bure tu
halafu shetani ni roho, ni inhuman spirit, hajawahi kuishi katika mwili wa binadamu,
kwahiyo matusi hayamdhalilishi;
unamuambia ***mako kwani ana mama?
unamuambia m***ko kwani anayo?
unamuita malaya kwani ana kifanyio?
Hata kama,unatakiwa kufanya tofauti na anavyokutenda,akikutukana wewe msifie.Kumbuka shetani ni adui yetu.
Ila mambo mengine yanafurahisha.Mtu anapitia msoto wa hali ya juu halafu akifiria pasta anamwambia ni kazi ya shetani lazima awe na jazba , mimi niliona ya kumkanyaga shetani kwa kishindo mpaka ardhi inameguka udogo.
Shetani hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.Ila kuishi kwenye mwili wa binadamu amewahi
Ni imani mkuu, sema wewe hauna jicho la rohoni .Ila mambo mengine yanafurahisha.
Akina Mwampo wanawatoa akina nani kwenye miili ya watu.hajawahi, yupo kifungoni mwenzako
Hii mbinu si ngeni, ilishawahi kutumika huko zamani sana.Sijui, labda walimkemea aliposhindwa kumtoka mtu wakaanza kumporomoshea matusi, ilikusudi aone aibu na kutokomea.
Ulifanya kazi lakini auHii mbinu si ngeni, ilishawahi kutumika huko zamani sana.
uongo promaxSiku mkukutana na makanisa kama haya mtanikumbuka
Siyo wote mkuuWalokole hawanaga akili mkuu.
Mchungaji wako akisema "shetani msenge sana" kwenye mahubiri kanisani yake utajickiaje?Ulifanya kazi lakini au