Hii ni kweli kuhusu Majini?

Sasa ntajuaje km ni namba za mganga kweli?? 😹😹😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mie kijana halafu sauti yangu ya ujana.
Huyo utaeongea naye mzee sana ila sidhani kama unajiweza kufika huko.
Angekua shemeji(mumeo) ningesema yuko serious ila wewe mamaa kaa tu upike mtori tuje tule.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mie kijana halafu sauti yangu ya ujana.
Huyo utaeongea naye mzee sana ila sidhani kama unajiweza kufika huko.
Angekua shemeji(mumeo) ningesema yuko serious ila wewe mamaa kaa tu upike mtori tuje tule.
Weka namba hizo kwenye pesa hakuna mwanamke wala mwanaume 😹😹😹
 
Sio ukweli Majini hawana element ya maji majini asili yao wameumbwa na moto sio maji hapo ninakukatalia umekopi wapi hiyo? Hapo nilipo weka mstari Mwekundu umekosea sio ukweli kabisa.
 
Daktar we mtu mkubwa sana hivi vitu sio wewe wa kuviongelea waachie matapeli
 
Ndio maana unanitaja taja ushindwe ila je mf. Kama hujaoa au kuolewa
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”.
Tulikumiss aise ndio maana nakutaja taja.
Kuoa ama kuolewa haijalishi.
 
Nimeona niishie kujibu hapa. Neno jini katika Kiswahili limetoholewa kutoka Kiarabu. Halina uhusiano wowote na neno "maji".

Kuna uongo mwingi umeandika.
Mtu huwa akifanya kosa kama hili alilofanya mleta mada huwa nahofia uwezo wake wa ketengeneza mantiki (logic).
Huyu jamaa huwa anakusanya taarifa sahihi na uongo anachanganya, kashadanganya sana watu facebook, baadae tik tok, sasa huku nako kavamia.

Aliwahi kusema wembe kama wa topaz hata ukiwa mpya una material zinaweza kukupa ukimwi.

Upakaji wa pilipili kichaa katika uume unaongeza nguvu za kiume.

Majini yanatokana na maji, huu ni ujinga kama kusema Matende(ugonjwa) yanatokana na ulaji wa tende,kisa kuna kuendana kwa kwa baadhi ya herufi na utamkaji.

Sikatai wakati mwingine anaunga unga facts anapatia, lakini mara nyingi haendi deep na kuonyesha findings.
 
Daktar we mtu mkubwa sana hivi vitu sio wewe wa kuviongelea waachie matapeli
Yeye siku hizi mganga Tik tok, anapiga style kama za kiboko ya wachawi.

Nchi ina wajinga hii basi tu hatutaki kujinufaisha nao.

Matatizo makuu ya wajinga hao ni juu ya pesa,imani na mahusiano. Tiba wanazotaka ni ambazo haziko rational.
Kama vile ogea mavi ya punda siku ishirini na moja,kila siku weka akiba shilingi mia tano. Siku ya 21 pika biriani au nunua,kula huku ukinena maisha yangu yawe matamu daima kama biriani hili, pesa zinipate nyingi kama mchele huu πŸ˜†
 
Kwanza kwanini umeuliza kama hujaoa ama kuolewa!?
Kiufupi ina apply kwa yeyote eidha ameoa ama hajaoa.
mkuu kuna vitu nataka unieleweshe nimekucheki PM naona PM yako umeifunga_naomba unicheki ww kama hutojali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…