๐น๐น๐น Mimi nimeokoka nampenda YesuSema tuna roho za tamaa! Wewe unajitoa๐
Aiseee ๐๐๐๐ hii JF inakutoa stress bila kutaka!๐น๐น๐น Hawajachosha mbona hawalalamiki wakibakwa, wamebakwa na majini??
Waliookoka wanajitaja!?๐น๐น๐น Mimi nimeokoka nampenda Yesu
Wamepotea,,,,,,jina tu linasema wa wapi na wanapenda kukaa wapi,,,,moto utaishi vipi kwenye majiNa wale wanao sema majini yameubwa kwa moto nao vipi?
Embu tuonyeshe ulivyo okoka!๐น๐น๐น Mimi nimeokoka nampenda Yesu
Kubakwa mada pana hiyoo๐ค๐ค๐ค๐น๐น๐น Hawajachosha mbona hawalalamiki wakibakwa, wamebakwa na majini??
Tena na POPOBAWA na wametulia tuli hawalalamiki ๐น๐น๐นKubakwa mada pana hiyoo๐ค๐ค๐ค
Mimi natenda mema namsingizia Yesu, mojawapo ni kutenda matendo ya huruma ๐ซEmbu tuonyeshe ulivyo okoka!
Wanalalamikaga mbona!?Tena na POPOBAWA na wametulia tuli hawalalamiki ๐น๐น๐น
Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐น๐น๐นWanalalamikaga mbona!?
Mie nishalalamikiwa sana ๐๐๐๐.
Hao POPOWING wanakua wakutumwa.
Iba mke wa mpemba halafu uone kazi.
Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐น๐น๐น
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe ๐๐๐
Sasa huo moto hauzimiki wanapoingia kwenye maji huko baharini? Hivi hiyo ya kuumbwa kwa moto mmeitoa wapi nyie?Yameubwa kwa moto lakini upenda maji thus baharini ndio makazi yao
Ila sijakuelewa hii kauli๐ค๐ค๐ค๐ค.Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐น๐น๐น
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe ๐๐๐
Sijaeelewa hapanamsingizia
๐น๐น๐น Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.
Weeeeh sisi tumepikwa๐๐๐๐ hatugusiki.
Nilijua wewe ni muhanga ๐นIla sijakuelewa hii kauli๐ค๐ค๐ค๐ค.
Au madam umemaanisha Mie ndio nilikua faza POPOWING!?
Si nasaidia wahitaji ambao hawajiwezi kimavazi na chakula, wakinishukuru nawaambia sio mimi niYesu kanituma niwatendee haya.!!Sijaeelewa hapa
Hamna wale huwa wanakujia katika njonzi ama ndoto.๐น๐น๐น Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??
Hao marafiki zako majasiri sana.!!
Wanapitiwa na popobawa na wamekusimulia??
Walikwambia mkao waliowekwa??