Hii ni kweli kuhusu Majini?

Tena na POPOBAWA na wametulia tuli hawalalamiki ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wanalalamikaga mbona!?
Mie nishalalamikiwa sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Hao POPOWING wanakua wakutumwa.
Iba mke wa mpemba halafu uone kazi.
 
Wanalalamikaga mbona!?
Mie nishalalamikiwa sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Hao POPOWING wanakua wakutumwa.
Iba mke wa mpemba halafu uone kazi.
Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.
Weeeeh sisi tumepikwa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž hatugusiki.
 
Sio wewe mwenyewe kiongozi? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ila sijakuelewa hii kauli๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”.
Au madam umemaanisha Mie ndio nilikua faza POPOWING!?
 
Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.
Weeeeh sisi tumepikwa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž hatugusiki.
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??
Hao marafiki zako majasiri sana.!!
Wanapitiwa na popobawa na wamekusimulia??
Walikwambia mkao waliowekwa??
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??
Hao marafiki zako majasiri sana.!!
Wanapitiwa na popobawa na wamekusimulia??
Walikwambia mkao waliowekwa??
Hamna wale huwa wanakujia katika njonzi ama ndoto.
Yani kama unavyo experience wet dreams.
Unaota mtu anakuingilia ukishtuka una uteute kiunoni ama mwanzo wa mgongo na kiuno.
Ama kalio limeloa.
Kuna maeneo Aisee hususan ukanda wa bahari ukitembea kuna kujaribiana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ