Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kwa hio kiufasaha ni kusema kumsingizia sio?Kiswahili kipana bana, kumshuhudia wengine watasema kuona.
Mfano;
“Nilimshuhudia kwa macho yangu G akiiba”
Kiswahili kina visawe vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio kiufasaha ni kusema kumsingizia sio?Kiswahili kipana bana, kumshuhudia wengine watasema kuona.
Mfano;
“Nilimshuhudia kwa macho yangu G akiiba”
Kiswahili kina visawe vingi
Kikubwa tuelewane basi 😹😹Kwa hio kiufasaha ni kusema kumsingizia sio?
Basi bado muoga wewe.Hapa nilipo nipo peke yangu na siogopi 😹😹😹
Kuna siku nilikuwa Kigoma sasa tukiwa kwenye maombi ghafla akatokea mtu hatujui kaingilia wapi?? Tukaanza kukemea “Kwa jina la Yesu toka”
Nalo si likajibu “Kwa jina la Yesu na nyie tokeni”
Nilitoka nduki sitaki kubishana na wenye mji wao mie 🤣🤣🤣
Wee emu nirushie ncheke 😹😹😹Basi bado muoga wewe.
Nilokutana nayo wewe ungezimia😂😂😂😂.
Siku nitakurushia PM ila usikimbie.
Hata hivyo nimeielewa , siku nyingine nitaomba kujua zaidi, barikiwa.Kikubwa tuelewane basi 😹😹
Sio bongo movie bwana😂😂😂😂.Wee emu nirushie ncheke 😹😹😹
Ila isiwe bongo movie
Nonsense!YAJUE MAJINI KWA UNDANI
- Neno majini linatokana na neno maji " sababu element ya majini ni maji na sio moto "
- Majini hupendelea kuishi na kukaa baharini, mtoni, ufukweni zaidi.
- Majini ni mashabiki wazuri wa michezo ya mpira, kamali n.k
- Majini yana vitengo kama zilivyo serikali zetu kuna kitengo cha kami ambacho kina kamishina wake na mshahara wake upo palepale na huandika report kila sekunde ya watu aliowavuna kwa sekunde.
- Majini kabla ya hapo walikuwa wastarabu sana ila inasemekana walianzisha upizani Kwa Mkuu wa umbaji ndipo walipigana na baadaye kuangukia duniani.
- Wengine walipoangukia duniani walianza kuzaliana na wanadamu na hadi sasa majini hutegemea sana wanawake ili kuzalisha majini wenzao na hiyo hufanya sehemu kubwa wanawake kupitia changamoto za uzazi hadi amalize kizalishwa watoto wao.
- Majini pia ni wapenzi wa kulala na wanadamu kwa ngono hasa majini ya kiume huwa warafi zaidi kwa kulala na wanawake.
- Majini ya kiume huchochea zaidi mwanaume kupenda sex mkundu vile mwanaume anasex pale ni jini ndio hufaidi zaidi hivyo hutia roho ya ujasiri mwanaume kutamani kuomba mkundu kuliko uke.
- Majini yanatabia ya uvivu sana hasa yanapokuwa matembezi yakiona yamechoka kutembea hupanda na kukaa kwenye mawingu ya nywele za wanawake hadi pale litakapo pata nguvu ya kuendelea na safari yake.
- Majini ni wapenzi wazuri wa dhahabu, vipodozi, marashi na manukato.
- Majini yapo ya aina mbili yale machafu na masafi hasa masafi huwa ni makoeofi zaidi ila machafu huwa mapole zaidi.
- Kwa kuwa majini huwa kama kivuli tu na wanadamu hawayaoni hata hapo ulipo yanapita na kuendelea na mambo yao ila majini ambayo huonekana kwa urahisi ni yale huishi choo za shule, madarasa ya shuleni na miti mirefu hao ndio huonekana kwa urahisi na ukiwaona wenda ukawa na nafasi ya kuishi duniani kwa shida sana au utapata kiwapa kikubwa zaidi
- Majini huwa na misiba pia huwa na sherehe kama wanadamu ila siku za sherehe zao kubwa ni lazima ajari itoke au kitu kibaya kifanyike.
- Maeneo kama ofisi za serikali, mahakama, migodini, bank kukosa majini bila serikali kuweka majini hayo kwenye ofisi au migodini huwa ni ngumu kupata mafanikio hivyo duniani kote serikali za dunia au watu wa migodini ni sharti kuingia mikataba ya siri na majini ili kulinda au kupata mali.
DALILI UNA MAJINI
- Unaota una sex hadi unapizi na kumwaga hilo ni jini.
- Unatabia ya kupanga na kuvuruga vitu ovyo hilo ni jini.
- Unapata hasira ghafula na baadaye unajutia kitu mwenyewe au kulia bika sababu hilo ni jini.
- Ukimchukia mtu sharti anapata matatizo hilo ni jini.
- Kifuani unahisi ni pazito sana n.k
View attachment 3042089
Tulia basi mtoto mzuri mboni machepele mengi ee?Unalazimisha bifu?
Lete tuoneSio bongo movie bwana😂😂😂😂.
Ni impact ya hao jamaa wakikutokea huwa wanaiacha.
Kumbe unajua Mimi ni Genius ee?😂😂😂 Nimechoka kuchokozwa na majini
Nitakurushia itaingia utaiona hivi punde tu.Lete tuone
Kwani inatisha sana 😹😹😹Nitakurushia itaingia utaiona hivi punde tu.
Vitukuu au vitu gani? Hapo kamaliza na akiandika anakimbia uzi anaanzisha uzi mwingineDr Williams tupe vitu mkuu.
Dislike na hii basiKwani inatisha sana 😹😹😹
Hamna haitishi ila ungekiona kilicholeta hiyo athari ndio kinatisha.Kwani inatisha sana 😹😹😹
Za mla urojo au?Porojo