Hii ni kweli kuhusu Majini?

Hii ni kweli kuhusu Majini?

Pesa sio shetani bali shetani wewe mtumiaji wa pesa,pesa sio kiumbe.
Kipindi wewe unanunua malaya ukamzini kwa hiyo pesa mwingine ananunua chakula akawalishe masikini kwa hiyohiyo pesa.
Mkuu samahani nina swali...kuna wale sijui ndio waganga hata sielewi hasa wadada,unamkuta mdada anapandisha jini halafu anamwambia mtu matatizo yake yote na anampa na dawa kabisa,kuna mtu aliambiwa mambo yake yote na akatapishwa vitu alivyolishwa. Sasa huyu anayefanya hivi kutibu watu hadi apandishe jini anachofanya ni halali?
 
Hujanielewa.
Ngojea nikueleweshe.
Kipindi huyo shekhe anasoma tulikua tukimfatiza.
Alipotokea nilizungumza shida zangu.
Akatoa masharti katika mafungu mawili.
Masharti ya kwanza ni ya yeye kukupa pete ya bahati;
-Usilewee pesa yake
-Usizini nje tofauti na mkeo
-Usigawe pesa utazopata hovyo hata kama hao wanawake hautembei nao.

Na kuna masharti ya pesa kama pesa,unataja hela unayotaka unapewa,masharti.
-Umuoe yeye.
-Usioe mwingine zaidi yake.
-Usijihusishe na wanawake wengine.

Mimi nilichagua masharti ya kule juu ya kwanza ya kupewa bahati,na hata kama ukipewa bahati au pete ya bahati pesa unazopata ni kama pesa zao tu isipokua hiyo ni indirect money ila hiyo ya kumuoa ni direct money.
Hapo sijui umeelewa sasa!?
Oohh hapo nimekuelewa sasa.
Kwahiyo pesa za majini ukakwichia ukapigwa na kitu kizito.!!
Pole sana aiseee.!!
Si ungerudi kuwaomba msamaha uchukue tena pesa.!!?
 
Wenzetu mnayajua sana Majini na mnayatetea kwa nguvu zote.
Hivi unakataaje kushirikiana na kaka yako wa Kijini.
Mtume kasema Majini ni kaka zenu.
Sasa mbona mna wanyanyapaa tena.
😹😹😹 Eti kaka zao khaaaa!!
 
Mkuu samahani nina swali...kuna wale sijui ndio waganga hata sielewi hasa wadada,unamkuta mdada anapandisha jini halafu anamwambia mtu matatizo yake yote na anampa na dawa kabisa,kuna mtu aliambiwa mambo yake yote na akatapishwa vitu alivyolishwa. Sasa huyu anayefanya hivi kutibu watu hadi apandishe jini anachofanya ni halali?
Haitakiwi,kitendo tu cha mtu kusema ana majini kichwani hilo ni tatizo.
Na mtu anayejifanya anapandisha marohani ili kutibu watu ni ushirikina.
Haliruhusiwi katika uislam.
 
Oohh hapo nimekuelewa sasa.
Kwahiyo pesa za majini ukakwichia ukapigwa na kitu kizito.!!
Pole sana aiseee.!!
Si ungerudi kuwaomba msamaha uchukue tena pesa.!!?
Hawaombeki msamaha wale dadaangu.
Yani wale zingua nikuzingue baaas.
That's true story of me sio utani wala abunuasi.
 
Hawaombeki msamaha wale dadaangu.
Yani wale zingua nikuzingue baaas.
That's true story of me sio utani wala abunuasi.
🤣🤣🤣 Pole aiseee.!!
Hamia kwa majini wengine bana wenye masharti nafuu
 
YAJUE MAJINI KWA UNDANI
- Neno majini linatokana na neno maji " sababu element ya majini ni maji na sio moto "

- Majini hupendelea kuishi na kukaa baharini, mtoni, ufukweni zaidi.

- Majini ni mashabiki wazuri wa michezo ya mpira, kamali n.k

- Majini yana vitengo kama zilivyo serikali zetu kuna kitengo cha kami ambacho kina kamishina wake na mshahara wake upo palepale na huandika report kila sekunde ya watu aliowavuna kwa sekunde.

- Majini kabla ya hapo walikuwa wastarabu sana ila inasemekana walianzisha upizani Kwa Mkuu wa umbaji ndipo walipigana na baadaye kuangukia duniani.

- Wengine walipoangukia duniani walianza kuzaliana na wanadamu na hadi sasa majini hutegemea sana wanawake ili kuzalisha majini wenzao na hiyo hufanya sehemu kubwa wanawake kupitia changamoto za uzazi hadi amalize kizalishwa watoto wao.

- Majini pia ni wapenzi wa kulala na wanadamu kwa ngono hasa majini ya kiume huwa warafi zaidi kwa kulala na wanawake.

- Majini ya kiume huchochea zaidi mwanaume kupenda sex mkundu vile mwanaume anasex pale ni jini ndio hufaidi zaidi hivyo hutia roho ya ujasiri mwanaume kutamani kuomba mkundu kuliko uke.

- Majini yanatabia ya uvivu sana hasa yanapokuwa matembezi yakiona yamechoka kutembea hupanda na kukaa kwenye mawingu ya nywele za wanawake hadi pale litakapo pata nguvu ya kuendelea na safari yake.

- Majini ni wapenzi wazuri wa dhahabu, vipodozi, marashi na manukato.

- Majini yapo ya aina mbili yale machafu na masafi hasa masafi huwa ni makoeofi zaidi ila machafu huwa mapole zaidi.

- Kwa kuwa majini huwa kama kivuli tu na wanadamu hawayaoni hata hapo ulipo yanapita na kuendelea na mambo yao ila majini ambayo huonekana kwa urahisi ni yale huishi choo za shule, madarasa ya shuleni na miti mirefu hao ndio huonekana kwa urahisi na ukiwaona wenda ukawa na nafasi ya kuishi duniani kwa shida sana au utapata kiwapa kikubwa zaidi

- Majini huwa na misiba pia huwa na sherehe kama wanadamu ila siku za sherehe zao kubwa ni lazima ajari itoke au kitu kibaya kifanyike.

- Maeneo kama ofisi za serikali, mahakama, migodini, bank kukosa majini bila serikali kuweka majini hayo kwenye ofisi au migodini huwa ni ngumu kupata mafanikio hivyo duniani kote serikali za dunia au watu wa migodini ni sharti kuingia mikataba ya siri na majini ili kulinda au kupata mali.

DALILI UNA MAJINI
- Unaota una sex hadi unapizi na kumwaga hilo ni jini.

- Unatabia ya kupanga na kuvuruga vitu ovyo hilo ni jini.

- Unapata hasira ghafula na baadaye unajutia kitu mwenyewe au kulia bika sababu hilo ni jini.

- Ukimchukia mtu sharti anapata matatizo hilo ni jini.

- Kifuani unahisi ni pazito sana n.k

View attachment 3042089


ASHIKWA MGUU NA JINI KWENYE PANGO MWENZAKE AMSOMEA DUA YA KUMUUNGUZA JINI. ANGALIAA MKONO WAJINI HUO

 
😹😹😹 Mimi chokambaya apeche alolo namfikia wapi da pipi mimi??
Yule anamiliki millions tupu
Kama uko serious niku PM number uende mwenyewe kuna mtu atakupokea.
🤔🤔🤔🤔🤔Ila kitakalokukuta usinifate JF.
 
jana nilikuwa napita sehemu nimemkuta jamaa kapandisha jini na hajiwezi nikajisemea kumoyo kama hawa washikaji wapo basi kum............
 
Huyu jamaa aliyeandika huu uzi hana uelewa kuhusu majini. Ameandika juu kwa juu kwa kusikiliza stori za vijiweni.

Hana elimu ya majini huyu
 
Back
Top Bottom