Hii ni laana gani huyu mwanamke analeta hapa nyumbani?

Hii ni laana gani huyu mwanamke analeta hapa nyumbani?

Tupate matangazo kidogo kwa hisani ya dronedrake

Artist : Nay wa mitego
Song : Bachela


Tunakula ujana mabachela bachela

Waache waoane

Okay lets go

Mi ni chizi wa mapenzi

Na nina upendo

Ila kuhusu ndoa ndo sina mpango

Na ukipata niliyemuacha hauzibi pengo

Ndoa lini hizo kelele za chura kwa tembo

Guys listen to me napenda kuwa free

Wengi wapo kwenye ndoa na hawatulii

Nikisema ndoa ndoa hata mnitangaze BBC

Palipo furaha nipo kama moyo wangu una WiFi

Bachela vibe ni confidence maisha ni kuchagua tumechagua hapiness

Happiest no ndoa no stress vichwa vina mambo mengi tuna-refresh

Mi na shemeji yenu daily tuna-party

Mambo ya ndoa wote hatuyataki

Purukushani unarudi saa ngapi unachati na nani ndo vitu hatutaki

Bachelaz michango tutachanga changa

Kwenye harusi tutakuja kuja

Chakula tutakula kula

Na pombe tutalewa lewa

Wenyewe si bado tupo si bado tupo

Hivi wakina nani nyie

Sisi ndo mabachela bachela

Hatutaki ndoa mabachela bachela

Tunakula ujana mabachela bachela

Waache waoane

Sing again bachelors

Sisi ndo mabachela bachela

Hatutaki ndoa mabachela bachela

Tunakula ujana mabachela bachela

Waache waoane okay
 
Ningekuwa mm ndo wewe Bro naweka mtego na ntafanya chochote wajue kama nimejua upuuzi wao , wakijua nimejua siri yao na ushahidi ninao lazima tu watafanya ninachotaka mimi , unawaita wote unat*mba wote kwa pamoj no huruma tena huyu mama jeni unakikisha unapita njia zote lazm alipie kodi yetu na uharibifu aliofanya kwenye familia yako afu then unawaambia wote ondokeni
Ulianza vizuri sana nikajua una akili
 
na mama Jeni ni wapenzi na anampenda maaan hata kuna kipindi mm nilitoa pesa amsaidiee huyoo mama jeni kodi ya nyumbaaa inauma ila sijuii nifanyajee wadau.
Kabla hujampa repatrieshen, omba faragha na mama jeni mfundishe ndipo usambaratishe ubia
 
Iko ivi jana new year mm nilikuwa nimeamua tuu kutulia home nikikuwaxna mawazo ya kazi zangu sikupendq niende kokote mm ni kijana nina miaka 32 sasa na nina mke na mtoto wa 5 years mtoto wetu yupo kijijin kwa bibi yake huko kitambo sasa wife jana akaniambiaa yeye anatoka na shoga yake tumuite mama jeni jina code.

Huyuu mama Jeni na mke wangu bhna ni marafiki yaaani wale wa karibu kabisa basi mimi nikamwambia niko tuu home nacheki move zangu za vita Vietnam na Marekani basi baada ya chakula cha mchana huyo kaoga kavaaa mimi nimetulia tuu kaondoka zake huko sijui ndio kwa mama Jeni au wapi sasa karudi hapaaa saa 9 usiku yuko hoii mimi nililala sana mchana nikawa niko machooo huwa najuaaa paswod.

Nikaamuaaa niiingie kwa simu yake Mungu wangu! Nimekuta videoo zaidi ya kumi wanasagana na huyooo mama Jeni yaaan live kabisaaa kumbe huyuu mwanamke ni shetani msagajii nimezituma kwa simu yangu kama ushahidi akiamka leo moja kwa mojaa kwaoo mpuuuzi ndio maana hata sex ananipangiaa yeye na mama Jeni ni wapenzi na anampenda maaan hata kuna kipindi mm nilitoa pesa amsaidiee huyoo mama jeni kodi ya nyumbaaa inauma ila sijuii nifanyajee wadau.
Unakumbuka hii

 
Mi kusagana sijapenda nijikite huko, ishu yangu ni moja, mkeo anaanzaje kurudi saa 9 usiku na wewe upo home? How come yan???
 
Back
Top Bottom