Hii ni mboga iliyopikwa na mke wa ndoa kwa mume wake

Upi hasa msingi wa swali lako?

Nina haja ya kuujua umri wako kama umeshindwa kung’amua content ya post uliyoni-quote nayo hapo juu.
Km unataka mke hata km hajui kupika si tatizo anaelekezwa mdogomdogo mpaka anakaa sawa Ila km unataka msaidiz wa kazi za ndani bila shaka hafai kwa majukumu hayo
 
Kuna mke wa baba mkubwa hajui kupika Hadi huruma Hana mkono wa kuchopoa chakula chenye ladha, atatia viungo na chakula ukala km maji tu tasteless, Kuna bintiye kamrithi hicho kitu, Ni aibu jamani hadi kinyaa na huruma
 
Hapo wanauza matunda, juisi ya miwa, bagia etc pia pana bucha? Nakuja fastaaa
 
Kuna mke wa baba mkubwa hajui kupika Hadi huruma Hana mkono wa kuchopoa chakula chenye ladha, atatia viungo na chakula ukala km maji tu tasteless, Kuna bintiye kamrithi hicho kitu, Ni aibu jamani hadi kinyaa na huruma
HAJUI KUPIKA full stop!
 
Yeah hawajui mara kiungue Mara kibichi mara chumvi nyingi, chakula kinawekwa nazi na bado sio kitamu🤔
Hata kunukia haki nukiii,una baki kujiuliza huyu "KAPIKA au KALOWEKA????"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…